Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
Hey Guys,,
I hope mko Poa.
Katika vitu vilivyo kuwa vina subiriwa na Watz kwa hamu basi ni kusikia siku moja akidondoshwa msanii mkubwa wa Marekani Hasa Chriss Brown,Drake,Rihanna au Hata Beyonce.
Mungu Si Athumani
Juzi Baada ya kutangazwa kishindo cha Fiesta wengi tulishangazwa kuona mikoa ikiwa michache ambayo Tigo fiesta ita timba kukinukisha,Ikabidi niingie kwa Phone kutafuta namba ya mchiz wangu pale mjengoni,Majibu niliyo pata ni kwamba clouds wana mpango wa Hizi show zote zitakazo fanyika mikoa hiyo saba ziwe ni show za kimataifa,#Levels-Baby.
Mwanzoni mipango ilikuwa mwaka huu kusiwepo na show za Fiesta Lakini vijana akina Mchomvu na Bdozen wakashauri kubadilishwa mfumo wa show hizi wa kutegemea wasanii wa ndani,Ndo likaja suala la kudondosha wasanii Kutoka kwa Trump,wengi walishauri kumdondosha Chriss brown na wengne wakashauri Drake,Na inasemekana mmoja kati ya wasanii Hao wawili ndo ata washa moto Tigo fiesta Dar🔥🔥🔥.
Wa mikoani pia hawajaachwa hivi hivi,wajiandae kukutana na wasanii wa nageria,Inasemekana Mwanza atatua Burna Boy na wasanii wengine kibao wa hapa Tz.
Pia Clouds mipango yao ni kuwa Kila baada ya miezi mitatu watakuwa na show kubwa ya msanii mkubwa Kutoka nje,Na wameamua kufanya hivi ili kurudisha Ule mfumo walio kuwa nao nyuma.
Hongereni sana Clouds,Hizi ndo show Watz tunataka,siyo show unatuletea akina whozu Mara akina Lavalava.
Big Congratulations CMG.
I hope mko Poa.
Katika vitu vilivyo kuwa vina subiriwa na Watz kwa hamu basi ni kusikia siku moja akidondoshwa msanii mkubwa wa Marekani Hasa Chriss Brown,Drake,Rihanna au Hata Beyonce.
Mungu Si Athumani
Juzi Baada ya kutangazwa kishindo cha Fiesta wengi tulishangazwa kuona mikoa ikiwa michache ambayo Tigo fiesta ita timba kukinukisha,Ikabidi niingie kwa Phone kutafuta namba ya mchiz wangu pale mjengoni,Majibu niliyo pata ni kwamba clouds wana mpango wa Hizi show zote zitakazo fanyika mikoa hiyo saba ziwe ni show za kimataifa,#Levels-Baby.
Mwanzoni mipango ilikuwa mwaka huu kusiwepo na show za Fiesta Lakini vijana akina Mchomvu na Bdozen wakashauri kubadilishwa mfumo wa show hizi wa kutegemea wasanii wa ndani,Ndo likaja suala la kudondosha wasanii Kutoka kwa Trump,wengi walishauri kumdondosha Chriss brown na wengne wakashauri Drake,Na inasemekana mmoja kati ya wasanii Hao wawili ndo ata washa moto Tigo fiesta Dar🔥🔥🔥.
Wa mikoani pia hawajaachwa hivi hivi,wajiandae kukutana na wasanii wa nageria,Inasemekana Mwanza atatua Burna Boy na wasanii wengine kibao wa hapa Tz.
Pia Clouds mipango yao ni kuwa Kila baada ya miezi mitatu watakuwa na show kubwa ya msanii mkubwa Kutoka nje,Na wameamua kufanya hivi ili kurudisha Ule mfumo walio kuwa nao nyuma.
Hongereni sana Clouds,Hizi ndo show Watz tunataka,siyo show unatuletea akina whozu Mara akina Lavalava.
Big Congratulations CMG.