Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo, hata Drake ambaye ni wa gharama zaidi hafikii hilo dauChris brown unatakiwa kutoa zaid ya Us dola 300000 ndo anapiga show, sio kazi ya kitoto kumleta huyo mwamba
Akavimba mbele ya CB eti hataki kuperform kabla ya Wizkid kwa kuwa yeye ni mkubwa sana[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ilikuwa mombasa hapo,nadhani alikiba naye alimuona brizzy for the 1st tym,na aliperform kama song zisizoid 5
Sasa umefata nini hapa kama sio ucchokko?[emoji848]Acha ushabiki wa kindezi wewe.
Watanzania wangapi wanauwezo wa kulipia show ya laki tano?
Wapo wenye uwezo wa kutoa laki 5 cash, je, wana interest na muziki?
Mimi binafsi hata umlete malaika kuja kutumbuiza siingii hata kwa bure.
Si mpenzi wa muziki.
Taarifa zote zipo Google, na hyo ilikuwa 2017, kama waliona kumpa diamond 100mil ni waste of money, wataweza Kwa huyo mdauUongo, hata Drake ambaye ni wa gharama zaidi hafikii hilo dau
Siokweli mikoa yote ilijaza Sana tu
Nimefuata mahali unapotolea haja kubwaSasa umefata nini hapa kama sio ucchokko?[emoji848]