Mkuu umeeka alama ya koma, nashauri malizia kauli yako!Bashite ndo mwenykiti wa ulinzi wa mkoa,
Napo hawamnyimi usngzzzzzTetesi kuwa bifu huenda likafika mbali kwani clouds safari hii wamewapa ugeni rasmi wakuu wote wa mikoa inakofanyika kasoro mkuu wa dar.. Tetesi ni kuwa fiesta dar mgeni rasmi atakuwa mchungaji moja atakae zindua usafiri wake binafsi mpya wa angani.
Tetesi toka ufipa.Tetesi kuwa bifu huenda likafika mbali kwani clouds safari hii wamewapa ugeni rasmi wakuu wote wa mikoa inakofanyika kasoro mkuu wa dar.. Tetesi ni kuwa fiesta dar mgeni rasmi atakuwa mchungaji moja atakae zindua usafiri wake binafsi mpya wa angani.