Dickson Mpemba
JF-Expert Member
- Jan 21, 2010
- 353
- 151
Wakumbuke tu Makonda ndiyo Mwenye Mkoa wake na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa tukipata taarifa zetu za kiinteligesia mnaweza kuifanyia hiyo Fiesta yenu Mkoa wa Pwani siyo Dar Es Salaam [HASHTAG]#WashambaHatujaribiwi[/HASHTAG]