Tetesi: Clouds kumtosa Bashite Fiesta Dar.. Waalika wakuu wa mikoa yote kasoro Dar

Tetesi: Clouds kumtosa Bashite Fiesta Dar.. Waalika wakuu wa mikoa yote kasoro Dar

Wakumbuke tu Makonda ndiyo Mwenye Mkoa wake na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa tukipata taarifa zetu za kiinteligesia mnaweza kuifanyia hiyo Fiesta yenu Mkoa wa Pwani siyo Dar Es Salaam [HASHTAG]#WashambaHatujaribiwi[/HASHTAG]
 
Wakumbuke tu Makonda ndiyo Mwenye Mkoa wake na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa tukipata taarifa zetu za kiinteligesia mnaweza kuifanyia hiyo Fiesta yenu Mkoa wa Pwani siyo Dar Es Salaam [HASHTAG]#WashambaHatujaribiwi[/HASHTAG]
CLOUDS MEDIA WAJIONGEZE MAPEMA JUU YA HILO....
 
Diih itakua taamu hyo jamaa wanajua kucheza na akili za watu wanajua DAB hana soko watakosa mashabiki.
KICK ON FLEEK
 
Bashi boy asipoalikwa inabidi anunue ticket aingie au alipie king'amuzi..[emoji23][emoji23][emoji23] lkn mkuu..yan mkuu wa mkoa wa kigoma aache mkoa wake kuja dar kwny party za usiku kucha..!? Never make sense!!!
 
Polisi wajiandae kutoa ripoti ya kiintelijensia inayoashiria hatari kwenye huo mkutano
 
Back
Top Bottom