Tetesi: Clouds kumtosa Bashite Fiesta Dar.. Waalika wakuu wa mikoa yote kasoro Dar

Tetesi: Clouds kumtosa Bashite Fiesta Dar.. Waalika wakuu wa mikoa yote kasoro Dar

Mnakumbuka mechi baina ya Azam na Simba?! Hiyo fiesta haina bahati!
 
Tetesi kuwa bifu huenda likafika mbali kwani clouds safari hii wamewapa ugeni rasmi wakuu wote wa mikoa inakofanyika kasoro mkuu wa Dar.. Tetesi ni kuwa fiesta Dar mgeni rasmi atakuwa mchungaji moja atakaezindua usafiri wake binafsi mpya wa angani.
Endelea kuota
 
Yeye atakuwa na zile LAND CRUISER akifanya doria.
 
Sidhani kama BIFU linaendelea kwa kiasi hicho kama baadhi yetu tunavyodhani kwani JUZI kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kuna habari ya RC makonda kupokea mifuko 10,000 ya cement na mtangazaji alikuwa dr.ISACK.....

N:B; mtangazaji alitangaza hiyo habari na kutaja jina la RC kwa unyonge sana.

POINT yangu BIFU linapungua polepole mpaka ikifika zamu ya FIESTA DAR tutamuona tu.

Ewe MUNGU MUUMBA tunaomba Afya njema....
Muumba yupi huyo anaetoa afya njema ili ukaone makalio ya Giggy money yale yenye sugu kuntu?
Natafakuri kwa kina sijakuuliza.
Ukijib umejileta.
 
Back
Top Bottom