Clouds Media katika mahojiano yake na Israel Mbonyi wamefanya vitu unprofessional, unethical na vitu vya kijinga na kuliabisha taifa

Elimu ndio tatizo hata ukiangalia TU unajua muuliza swali hana elimu Wala maadili lakini pia huenda na akili anazo kidogo
 
siku zote tunawashauri waTanzania kuwa wazalendo kwa kutazama TBC ukweli na uhakika, ninyi mnang"ang"ana huko, tazama sasa mmekwazwa huko mnakuja kulialia humu jukwaani ili kupata relief..

TBC ukweli na uhakika huwezi kukwazika kiasi hicho 🐒
 
siku zote tunawashauri waTanzania kuwa wazalendo kwa kutazama TBC ukweli na uhakika, ninyi mnang"ang"ana huko, tazama sasa mmekwazwa huko mnakuja kulialia humu jukwaani ili kupata relief..

TBC ukweli na uhakika huwezi kukwazika kiasi hicho 🐒
Hata tbc nawakumbuka kwenye kutangaza afcon, wanatumia lugha chafu sana
 
Ndio maana Salim Kikeke anawakimbiza wote, hawa vijana hawajui nini cha kuongea katika mazingira yapi wanadhani watu wote ni kama wao. Cloud ni lazima wampe onyo huyu nakuomba msamaha kama kweli wako serious na tasnia.
 
Hu
Huwa namkubali Jabir Saleh(Kuvichaka) mtangazaji wa EFM kipindi cha The classic interview anazofanya uchoki kusikiliza na hata anapokuuliza swali unajikuta unafunguka tuu yaani ni burudani kusikiliza
 
Nimejisikia aibu sana, wamemvunjia heshima Israel Mbonyi.

Na mbona amejibu swali lao kwa hekima sana? Au ndio hakuelewa lugha imempiga chenga hadi kuchombeza na huo upuuzi?

Kwa jinsi alivyojibu mjadala ulipaswa kuishia hapo.
 
Acheni kuinanga redio ya Taifa, acheni tuwafungulie dunia, muache kukaa kizembe. Mwanaume yeyote ambaye hajaoa, basi ana mahusiano ya kimapenzi pembeni, kama hana, basi huyo ni Punyetician. Yanini tufiche?

Tena hawa vijana wanaojificha kwenye mwavuli wa dini ni hatari sana unaambiwa
 
Watangazaji wamejaa ngono akilini, kama wasanii kwa 955 na 5% iliyobaki na miraa na dawa za kulevya, sasa unategemea watamuuliza elimu, investment, kama anahubiri, kama ana saidia mayatima na wajane?


Media za Bongo ukialikwa jiandae na maswali ya ngono, hawajui maisha yake, familia yake , wala elimu yake na mpango wake wa mbele kama atakuwa mchungaji au la, wao wanataka issue za nyashi na kupiga puli.
 
Nimejisikia aibu sana, wamemvunjia heshima Israel Mbonyi.

Na mbona amejibu swali lao kwa hekima sana? Au ndio hakuelewa lugha imempiga chenga hadi kuchombeza na huo upuuzi?

Kwa jinsi alivyojibu mjadala ulipaswa kuishia hapo.
Lugha imempiga chenga na hakujua alichoulizwa.ila ameshangaa sana media kubwa namna hii,
 
Biblia imekataza kugungiwa nira na wasioamini. Acha akome maana kunaulinganifu kati ya kristo na ufisadi?. Ifikie hatua Wacha Mungu tusiingie katika studio Hizi za wafilisti.
 
Guys hamna journalists wa kiwango cha kuitwa journalist.Salim Kikeke ana afadhali kwani alipata exposure kwa kupikwa na professionals huko BBC.
Wengine wengi ni makanjanja tu wasiojua lolote kuhusu ethics za journalism.
Katika nyanja iliyopotea hapa Tanzania ni journalism.Mwandishi wa habari ni lazima awe amesomea uandishi wa habari na kufaulu vizuri.Awe anasoma hata baada ya kuhitimu ili kuendana na dunia ilivyo.Akiwa ana master lugha zaidi ya 2 ni added advantage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…