Clouds Media na ukabila

Clouds Media na ukabila

Status
Not open for further replies.
Kuna watu hampendi amani, mna chokochoko mradi tuu kuzua chuki na taharuki

Kuwaajiri wahaya sidhani kama ni kitu kilichopangwa au ni issue ya ukabila, ni kitu ambacho kinategewa kutokea kutokana na mazingira ya umiliki na mahusiano

Hao wachache wasio wahaya unaosema waliajiriwa bahati mbaya hebu tuambie mpango ulikua vipi na hiyo bahati mbaya ikatokeaje🙄🙄😏
Hauwezi ukaweka ofisi nzima 90% ni kabila moja hio ni troublization ya kipekee sana kuwahi kutokea very problematic
 
Huu uzi umejaa unafiki na wivu, ili andiko lako liwe halali leta jumla ya wafanyakazi wa clouds na uonyesha katika hao wafanyakazi asilimia ngapi ni wahaya
 
Clouds hawajawahi kuwa wachaga hata siku moja. We unawajua wahaya wewe! Mhaya aajiri mchaga thubutu.
Joseph Kusaga na familia ya Kusaga ndo wenye Clouds na Sio wahaya Sasa nyie chuki zenu zimebase wapi labda.Mi ni mtu wa pwani Kwa hiyo nyie watu wa mikoani punguzeni chuki za ukabila itawacost.
 
Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Haya+Sukuma ingawa wasukuma walizidiwa na Mhaya Ruge kwa kuwa hasa yeye ndo alikuwa engine ya media hiyo!!
 
Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Kuna interview zozote ambazo mtu anaweza akafanya na hatimaye kumaliza na kuondoka bila interviewers kuwa wamefahamu jina lake?
 
Mi Nina uhakika asilimia mia ndo mana Uzi huu utaondolewa kwa sababu hata mxen melo ni mhaya pia
Kama kabla ya uzi huu hakukuwahi kuondokewa uzi mwingine ntaamini usemacho. Ila kama nyuzi nyingine zilishawahi ondolewa basi utakuwa ni uzushi kama uzushi mwingine
 
Njoo na orodha ya waajiriwa wote hapo clouds media group kwanza ili tujiridhishe.

Pia katika zama hizi za mwingiliano mkubwa wa makabila yetu kutokana na kuoleana, kuitwa Muganyizi, Masawe au Mwashipumbu haitoshi kuitwa mhaya, mchaga au mnyakyusa


Sorry boss, huyu ndugu Mwashipumbu anatokea wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom