Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We huoni midomo ya kipanya ilivyomikubwa kama anameza mtu. Wahaya wote wako hivyohivyo ni walafi sana ndo mana midomo imeadapt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We huoni midomo ya kipanya ilivyomikubwa kama anameza mtu. Wahaya wote wako hivyohivyo ni walafi sana ndo mana midomo imeadapt
Achana na Bangi unayoivuta kwani inakufanya uwe Juha ( Fool ) kama kwa Ulichokiandika hapa.Kipanya, ciza, sasali, mwihava, pj, kabaya nk
TUSIIME scKwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Sasa mbona hawaogei kihaya kwenye vipindi vyao?Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Mbona Kaskazini ndo wamejaa pale?Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Kipanya siyo Muhaya, Pj msukuma, Kabaye Mkenya wa Mombasa huko. Punguzeni chukiKipanya, ciza, sasali, mwihava, pj, kabaya nk