Huo sio utapeli, ila ni kamari(bahati nasibu) kuna kuliwa na kula.
Ndio maana dini nyingi zimekemea vikali
Mfano. Qur-an 5:90
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
na kwanini umuonee huruma aliyekubali kutoa kipato chake kwa tamaa yake ili akizalishe kwa haraka na akijua kwa imani ya dini yake hairuhusiwi...
Usimlaumu anaekula hizo pesa ila walaumiwe wote wanaoshiriki kamari hiyo na wanaoiwezesha kufanyika.
Kamari ni kamari tusipunguze ukali wa maneno eti ni bahati nasibu
#Vijana_tufanye_kazi
#Tule_vya_halali