Clouds Media ni media ya kinafiki sana


Akimaliza hyo tour tunataka mahesabu TRA wachukue kodi yao
 

muda hui maro kaingia nao ule chekechacheketua kiba kalipa hela kubwa bana
 
muda hui maro kaingia nao ule chekechacheketua kiba kalipa hela kubwa bana

Sikatai kama kalipa ni haki yake.. Nachokataa hapa ni kuzidisha hadi kwenye mitandao yao ya kijamii.. Na pia upendeleo wao upo juu wanapozungumzia kuhusu alikiba wanatumia promo na nguvu kubwa kuliko huyo hasimu wake Diamond
 
Clouds ni vibaka fm. Huo mziki wa Domoimondi ni mkusanyo wa kelele tu na hata huyo Kiba ni kawaida tu. Mziki wa prodyusa kuunga unga studio na mistari mutate aaarkhhhh chefua roho
 

Nafikiri hata hujanielewa. Ukitoa wimbo mpya unapewa PA ya bure kwani ni sehemu ya vipindi kutambulisha kazi za wasanii. Hata huyo Diamond huwa anapewa PA ya kutosha kila atoapo ngoma. Show za Fiesta alipewa PA 2. Kwanza alikua katoa wimbo mpya wa Mwana, pili Leaders ilikua ni jukumu la kila msanii kuja na mbwembwe zake wala haikua kazi ya clouds ndio maana baadhi ya wasanii walikuja na mikwara mbuzi,wengine wakaja kama wafalme, wengine kama wanajeshi na wengine wakatambulishwa na watangazaji wa vituo vingine vya radio.

Hii ni Tour nakuhakikishia na nina uhakika na ninachokisema kuwa kailipia hela nyingi ndio maana inatangazwa sana. We unafikiri kampuni gani itaingia mfukoni kumsafirisha mfanyakazi wake akahudhulie show ya msanii bila kampuni kupata chochote? Yaan wao waingie hasara kwa sababu zipi?

Weusi mwishoni mwa mwaka jana nao wamepiga Tour yao mpaka wakawa wanawatumia B12 na Dj zero mbona hamjaja kulalama?

Tatizo mashabiki mmetanguliza hisia kila sehemu linapokuja suala la clouds na wasanii ni kwasababu mlikalilishwa na baadhi ya watu toka kitambo. Hata pasipo na tatizo mnapatengenezea mawazo mgando kuhalalisha makosa. Pole sana.
 
Clouds ni vibaka fm. Huo mziki wa Domoimondi ni mkusanyo wa kelele tu na hata huyo Kiba ni kawaida tu. Mziki wa prodyusa kuunga unga studio na mistari mutate aaarkhhhh chefua roho

Chizifresh jingine hili hapa, hata halieleweki.
 
Mh! Watanzania wengi ni wabinafsi na ndo maana taifa let halifanikiwi kuwa na watu mbali mbali wenye vipaji Kwasababu mnataka mtu mmoja tu ndo aiwakilishe nchi milele na akitokea mwingine atakae onyesha nia kwamba anaweza basi huyo ni HATER. Mafanikio hawawezi kuletwa na mtu mmoja ni vema tukawasaport wote bila kujali nani kafika wapi na kwanini. Diamond keshatoka kimataifa basi aungane na wenzake ili watanzania wazidikuwa wengi kwenye mziki wa kimataifa badala ya kuweka umimi mbele, wafanyakazi hii kwa faida ya taifa.
 
Mi naona clouds inafanya kazi kwakuwa haipromoti msanii mmoja forever na hii ndo inavyotakiwa kila mtu apewe nafac ajaribu kwa uwezo wake. Tujifunze hata kwa wanaigeria c msanii mmoja anayejulikana kimataifa Ila wanasuport wote wenye kuonyesha nia na uwezo
 
Mleta mada ndio tukushangae,siku zote hizo leo ndio unagundua Clouds ni wanafiki
 
Mi naona clouds inafanya kazi nzuri kwakuwa haipromoti msanii mmoja forever na hii ndo inavyotakiwa kila mtu apewe nafac ajaribu kwa uwezo wake. Tujifunze hata kwa wanaigeria c msanii mmoja anayejulikana kimataifa Ila wanasuport wote wenye kuonyesha nia na uwezo
 
Jf kunawatu cjui wanafrika gani....tambua clouds ni media ya kibiashara hivyo kuangalia upepo ambao utakuw na soko ni jambo lakawaida....kama unatak anzisheni vituo vya habar vinavyomilikiw kwa pamoja ili kuleta usawa unaotaka...pia hatakam wanachochea bifu ilimradi inawalipa wataendelea kufanya hivyo cz ndo jinsi ya kupata kula....so funguk kifikra mwanzishaj mada sio kupiga kelele ilihali wenzak wanatengenez pesa both alikiba diamond na clouds media
 
Mleta mada una kichwa cha kuku 100%
Clouds media ni kampuni na matangazo ni sehemu ya kujiingizia kipato chao
Je unajua kua kiba kalipia yale matangazo au unaropoka tu ?
 

Clouds Media wana mambo ya Kitoto sana.
 

Naomba ueleze kosa lililofanywa na Clouds maana nimesoma silioni kabisa!
 
Clouds wanafanya biashara kwahiyo hakuna suala la kumpa promo Ali Kiba hapo! Ulitaka waitangaze show ya Diamond Nigeria kwa faida ya nani au ili kiwe nini? Ili waongeze mauzo ya ma-dish ya DStV, au? Anyway, hata kama isingekuwa na faida kwa yeyote, endapo Diamond, management yake au DSTv or anyone else wangelipia matangazo, Clouds wangetangaza tu coz' wao biashara yao kubwa ni matangazo!

Kwa show ya Ali Kiba kwa sasa itakuwa ni ama management ya Kiba imelipia publicity hapo Clouds au Clouds wana mkono wao kwenye show husika kwa kuwa, hiyo ni moja ya shughuli wanazofanya... yote kwa yote, hakuna dhambi! Huwezi kusema Clouds wasipokee matangazo kuhusu Kiba kwa kuwa Kiba ana bifu na Mond au huwezi kusema Clouds wasiwe sponsor wa show za Kiba kwa kuwa Kiba ana bifu na Monds coz' ile radio ni ya kibiashara, na mwenye kisu kirefu ndie hula nyama! Aidha, wakifanya kama unavyotaka mleta mada, basi hiyo itakuwa ndo ku-promote bifu... kwanini wasihusike na show za Kiba?

Andaa show ya Diamond kisha kalipie publicity pale Clouds ukiona wamekataa, ndipo rudi hapa na habari sawa na hiyo uliyokuja nayo otherwise, tuache utoto!
 
Sikatai kama kalipa ni haki yake.. Nachokataa hapa ni kuzidisha hadi kwenye mitandao yao ya kijamii.. Na pia upendeleo wao upo juu wanapozungumzia kuhusu alikiba wanatumia promo na nguvu kubwa kuliko huyo hasimu wake Diamond
Ndugu yangu, mie ni mmoja wa mashabiki wa Diamond ambae wala sijifichi humu jamvini! Hebu nielimishe... hao Clouds kwa sasa ulitaka wafanye promo ipi kwa Diamond? Umegusia show ya Nigeria... uifanyie promo ile show ili iweje na kwa faida ya nani? By the way, ile show ya Nigeria ni ya Multichoice na washirika wake... na ni show ya kibiashara! Sasa ulitaka show ya kibiashara ya kampuni nyingine itangazwe na Clouds bure kivipi? Unadhani hao Clouds wangefanya hivyo wangekuwa wanamtangaza Diamond au wangekuwa wanaitangaza Multichoice na washirika wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…