Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa
Soma kichwa cha habar hapo juu
Hivi huu utaratibu aliouweka ni nani?
Clouds media imekuwa kimbilio la wasanii kwenda kutambulisha audio zao, msanii akitoa audio huwa ana anzia mawingu kwanza ndo sehemu zingine zinafata
Lakin msanii huyo ambaye katambulishia audio yake mawingu hawez kabisa kuitambulisha video yake mawingu hata kama ni kama ni dawa
msanii akitoa video cha kwanza ni EATV, sijawahi kuona msanii katoa video halafu akaipeleka clouds video lazima ataanzia EATV then huko kunafuata
Sasa bas naomba kujua huu utaratibu nan aliuweka au ni wasanii tu wenyewe wameamua kufanya hivyo
Au Clouds ina wasikiliziji lakin haina watazamaji?
Au EATV ina watazamaji wengi sana na haina wasikilizaji?
Kwenu wadau
LONDON BABY
Soma kichwa cha habar hapo juu
Hivi huu utaratibu aliouweka ni nani?
Clouds media imekuwa kimbilio la wasanii kwenda kutambulisha audio zao, msanii akitoa audio huwa ana anzia mawingu kwanza ndo sehemu zingine zinafata
Lakin msanii huyo ambaye katambulishia audio yake mawingu hawez kabisa kuitambulisha video yake mawingu hata kama ni kama ni dawa
msanii akitoa video cha kwanza ni EATV, sijawahi kuona msanii katoa video halafu akaipeleka clouds video lazima ataanzia EATV then huko kunafuata
Sasa bas naomba kujua huu utaratibu nan aliuweka au ni wasanii tu wenyewe wameamua kufanya hivyo
Au Clouds ina wasikiliziji lakin haina watazamaji?
Au EATV ina watazamaji wengi sana na haina wasikilizaji?
Kwenu wadau
LONDON BABY