Clouds Media ombeni msamaha watanzania kwa kudanganya zoezi la uokoaji kariakoo limesimama

Clouds Media ombeni msamaha watanzania kwa kudanganya zoezi la uokoaji kariakoo limesimama

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20241116_204852.jpg

Hii habari ni ya uongo hakuna zoezi lililositishwa hivi navyozungumza nipo kariakoo sababu mimi ni mdau hapa. Zoezi la uokoaji liandelea watu wanapiga kazi na baadhi wamefikiwa tayari.

Media kama hii kubwa inapotoa upotoshaji kama huu inawaacha watu kwenye mshtuko na kukatisha watu tamaa.

Ombeni msamaha au TRCa wawafungie miaka miwili.
 
Trca ndo nn Mkuu? Polen sana wadau hii ajali ni mbaya sana, VP team ya uokozi professional wameshawasili au bado ni watanzania wazalendo wanaendelea kuokoa wenzao?
 
Inawezekana mamlaka zilitaka lisitishwe, lakini waokoaji (wananchi majasiri na wazalendo) wamepuuza ilo agizo la kipuuzi na kuendelea na shughuli za kuwaokoa watanzania wenzao.
 
Back
Top Bottom