Maswala kama haya hayataki utani wazee, hata siasa hazihusiki - ni kosa baya media kubwa hivi kutoa taarifa kama hii alafu watu wapo ndani na wanapitia mtandaoni japo kwa shidaView attachment 3153938
Hii habari ni ya uongo hakuna zoezi lililositishwa hivi navyozungumza nipo kariakoo sababu mimi ni mdau hapa. Zoezi la uokoaji liandelea watu wanapiga kazi na baadhi wamefikiwa tayari.
Media kama hii kubwa inapotoa upotoshaji kama huu inawaacha watu kwenye mshtuko na kukatisha watu tamaa.
Ombeni msamaha au TRCa wawafungie miaka miwili.
Wanaokosea waambiwe live ili kuacha hii tabiaKikubwa uokoaji unaendelea mkuu, mdomo mdomo wa nini jaman
Kazi ya polisi ni kuokoa?Wakuu, naombeni video za polisi wakifanya uokoaji 🙏 nna kazi nazo
Hapana, kazi yao n kuimba taarabuKazi ya polisi ni kuokoa?
Serikali inaweza sema kazi ya uokoaji inaendelea ila ukiwepo eneo la tukio huoni kinachoendeleaMaswala kama haya hayataki utani wazee, hata siasa hazihusiki - ni kosa baya media kubwa hivi kutoa taarifa kama hii alafu watu wapo ndani na wanapitia mtandaoni japo kwa shida
Fire and rescueHapana, kazi yao n kuimba taarabu
sio kazi ya polisi kuokoa ....kazi hiyo ni ya jeshi la zimamoto na uokoaji?Wakuu, naombeni video za polisi wakifanya uokoaji 🙏 nna kazi nazo
Sijasoma kabisa, Kwan QT n nn mkuusio kazi ya polisi kuokoa ....kazi hiyo ni ya jeshi la zimamoto na uokoaji?
Ulisomea QT?
Sijasoma kabisa, Kwan QT n nn mkuu
Ndo nn hy
Ila sometime credibility ya baadhi ya vyombo vya habari Tanzania inatia mashaka SanaWizara ya habari ichukue hatua stahiki kwa vyombo hivi vinavyopenda kuripoti taharuki badala ya tukio
just googleNdo nn hy
Nacheka kimoyo moyoShirika linaloratibu uangukaji wa magurofa.
Watu wanaendelea kuokolewa muda huu navyopost hapa..nyie endeleeeni kufanya siasaWanaofanya uokoaji ni wananchi au mamlaka za serikali maana vyanzo vingi vinaonyesha zoezi kimesitishwa hivyo tueleze wanaookoa ni wadau au vikosi vya uokoaji maana kama wadau pekee maana yake vikosi vimesitisha zoezi
Kila la kheri na uokoajiWatu wanaendelea kuokolewa muda huu navyopost hapa..nyie endeleeeni kufanya siasa