rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Nijifunze nini kwa bashite weweee...Karibu uendelee kujifunza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Nijifunze nini kwa bashite weweee...Karibu uendelee kujifunza
Wewe unayewatetea Clouds kila uzi wàmekulipa sh ngapi hili ni jukwaa huru tusilazimishane kuaminishana vitu we vipi .Kwa chuki uliyonayo juu ya clouds inakuingizia sh ngap kwa siku??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Siwatetei ilaa nashangaa mnaofurahia kuanguka kwa Clouds bila kujua wakibaki Wcb pekee Tabu itakuwa zaidi ya clouds aisee.....yanii hamjui mnachokiombaa ipo siku wasanii watamlamba miguu mondi awalipe hata hela ya chaii...Wewe unayewatetea Clouds kila uzi wàmekulipa sh ngapi hili ni jukwaa huru tusilazimishane kuaminishana vitu we vipi .
Wewe unayewatetea Clouds kila uzi wàmekulipa sh ngapi hili ni jukwaa huru tusilazimishane kuaminishana vitu we vipi .
Hivi kwa akili yenu mnakubali kabisa kwamba kuzuiwa kufanyia Leaders club ndo kumewafanya wasifanye FIESTA??
Yani mnashindwa kufikiri kwamba bado kulikuwa na uwezo wa kuahirisha tarehe na kuandaa venue nyingine kuliko kupoteza hayo mamilioni??
Mi bado siamini kama kutofanya hiyo FIESTA tatizo ni hiyo manispaa kuwanyima Leaders.
Alafu safari hii Bashite naona kama alikuwa upande wao.
Kikubwa kingine mnachojichanganya ni pale mtu unapofurahia Clouds kukosa kufanya FIESTA na ukashangilia Wasafi kufanya Wasafi Festival bila kujua kuwa zote ni mali za mtu mmoja ama zina maslahi na mmiliki mmoja (Kusaga) japo nina imani na Ruge ana maslahi yake.
mwenzie beiraboy yuko team wasafiBora kuliko Kuwa mjinga kama wew...
Hahahahahaaaaa mkuu umetisha. Mkuu Mimi napenda haki na mafanikio clouds ni wangese na siwapendi kwa sababu ya dhuluma wanataka wakutumie kisha wakutupe kama kondommwenzie beiraboy yuko team wasafi
Hata hujui nini umeandika....eti ruge ashawiahi,hujui kama ruge anaumwa?Hawa mabwenyenye wa media Tanzania kwa muda mrefu sana walizoea kuishi kwa mazoea, waliishi kwa kujipendekeza kwa serikali ya ccm na ndivyo wanavyoishi mpaka Leo
Mara nyingi hawa mabwenyenye hawafuti ethics za kazi yao hujiona bora kuliko media nyinginezo
Tunajua clouds media ilipaa sana Kipindi cha kikwete, walipiga sana pesa walipata fursa nyingi sana tunajua mzee kikwete Ni mtu simple alikuwa anapiga interview pale kila Mara
Nakumbuka kina kibonde walikuwa wanawanyea sana wapinzani na kuipigia makofi ccm
Yaan Kipindi cha kikwete mpinzan kusikiliza clouds ilikuwa kama unakalia kaa la moto wenyewe muda wote ilikuwa kuukashifu upinzani
Hawakujua hawakujua kuwa unafki una mwisho, hawakujua uongo una mwisho hawakujua dhuluma Ina mwisho
Hawakujua kuwa kila zama Zina mtume wake walifikiri mzee jk atadumu milele
Angalia Sasa pamoja na kujipendekeza kote awamu hii bado hawapati kile walichozoea kukipata
Kila wanachogusa wanapuyanga. Kama wangekuwa werevu wangekaa chini wakajiuliza
Nimesikia kuwa hawakukubaliwa kufanya onesho pale leaders ila wenyewe wakajiamini kwa kuwa walijua wao Ni makaada wa ccm
Mbona EFM waliomba pale walanyimwa na walipewa sababu
MI binafsi sifurahi kunyimwa kwa tamasha lenu kufanyika ila matatizo ya Leo mliyatengeneza wenyewe siku nyingi
Badilikeni...mbona huwa mnasema uyo ruge Ni usalama wa Taifa ameshindwa kutumia kofia yake kushawishi mamlaka?
Kuna media huwa zinanyanyaswa na mamlaka ila huwezi kuta wanalalamika hadharani nyie mmebanwa kende kidogo tu mshaanza kulia Lia,,, alahhh
Hata hujui nini umeandika....eti ruge ashawiahi,hujui kama ruge anaumwa?
Hata mimi inanishangaza pia mkuu.Hivi kwa akili yenu mnakubali kabisa kwamba kuzuiwa kufanyia Leaders club ndo kumewafanya wasifanye FIESTA??
Yani mnashindwa kufikiri kwamba bado kulikuwa na uwezo wa kuahirisha tarehe na kuandaa venue nyingine kuliko kupoteza hayo mamilioni??
Mi bado siamini kama kutofanya hiyo FIESTA tatizo ni hiyo manispaa kuwanyima Leaders.
Alafu safari hii Bashite naona kama alikuwa upande wao.
Kikubwa kingine mnachojichanganya ni pale mtu unapofurahia Clouds kukosa kufanya FIESTA na ukashangilia Wasafi kufanya Wasafi Festival bila kujua kuwa zote ni mali za mtu mmoja ama zina maslahi na mmiliki mmoja (Kusaga) japo nina imani na Ruge ana maslahi yake.