Kubwa niliyoona huruma ni kwa mama sakina wa mashujaa band, unajua clouds walifika mahala ikaonekamna kwamba bila wao haji star mkubwa bongo,awe mmarekani,jamaica,hata congo
Mama sakina akamleta nguli lenyewe Jb Mpiana pale leaders,kilichotokea ni kwamba mama wa watu alizimia,umeme ulizenguaaaa ukakatwa,jenereta likawa lishachezewa watu kupiga simu kwa wakodishaji majenereta wanaambiwa yashabukiwa,najua wapo watakaosema leta evidence sijui lete picha ila wadau wanajua NANI WALIOFANYA FITNA HIZI,yule mama wa watu hadi alizimia bila shaka leo anashangilia huko alipo
Channel ten wakajifanya kumpeleka fally ipupa kule arusha kilichowapata walikoma nafikiri hawakurudia tena
Majay Majizo kabla hajaanzisha radio kupitia kampuni ya Entertainment masters,Emasters anaweza kuwa victim mkubwa wa hawa jamaa,kuanzia show ya kina Joe thomas hadi ya kina T pain,Mims pale viwanja vya posta,iliwauma sana jamaa wa mjengoni WAKATENGENEZA UZUSHI KWMBA TPAIN KASEMA HAJAWAHI KUPAFOMU SHOW MBOVU KAMA YA TANZANIA,aisee nafikiri hiyo kitu hadi leo majay hajasamehe