Clouds media wanavuna walichopanda wasitafute mchawi

Clouds media wanavuna walichopanda wasitafute mchawi

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sasa me na yeye nani mchawii??? Chuki na kuombea wengne mabaya ni zaidi ya Uchawiiii na Ushetanii
Inamuingizia kama unazopata wew kwa uchawi wako..
 
Kubwa niliyoona huruma ni kwa mama sakina wa mashujaa band, unajua clouds walifika mahala ikaonekamna kwamba bila wao haji star mkubwa bongo,awe mmarekani,jamaica,hata congo
Mama sakina akamleta nguli lenyewe Jb Mpiana pale leaders,kilichotokea ni kwamba mama wa watu alizimia,umeme ulizenguaaaa ukakatwa,jenereta likawa lishachezewa watu kupiga simu kwa wakodishaji majenereta wanaambiwa yashabukiwa,najua wapo watakaosema leta evidence sijui lete picha ila wadau wanajua NANI WALIOFANYA FITNA HIZI,yule mama wa watu hadi alizimia bila shaka leo anashangilia huko alipo
Channel ten wakajifanya kumpeleka fally ipupa kule arusha kilichowapata walikoma nafikiri hawakurudia tena
Majay Majizo kabla hajaanzisha radio kupitia kampuni ya Entertainment masters,Emasters anaweza kuwa victim mkubwa wa hawa jamaa,kuanzia show ya kina Joe thomas hadi ya kina T pain,Mims pale viwanja vya posta,iliwauma sana jamaa wa mjengoni WAKATENGENEZA UZUSHI KWMBA TPAIN KASEMA HAJAWAHI KUPAFOMU SHOW MBOVU KAMA YA TANZANIA,aisee nafikiri hiyo kitu hadi leo majay hajasamehe
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Siwatetei ilaa nashangaa mnaofurahia kuanguka kwa Clouds bila kujua wakibaki Wcb pekee Tabu itakuwa zaidi ya clouds aisee.....yanii hamjui mnachokiombaa ipo siku wasanii watamlamba miguu mondi awalipe hata hela ya chaii...
Mbona hata ruge kalambwa sana miguu na wasanii.Kagonga dada zetu wangapi bwana kwa mgongo wa clous!
 
Hivi kwa akili yenu mnakubali kabisa kwamba kuzuiwa kufanyia Leaders club ndo kumewafanya wasifanye FIESTA??

Yani mnashindwa kufikiri kwamba bado kulikuwa na uwezo wa kuahirisha tarehe na kuandaa venue nyingine kuliko kupoteza hayo mamilioni??

Mi bado siamini kama kutofanya hiyo FIESTA tatizo ni hiyo manispaa kuwanyima Leaders.

Alafu safari hii Bashite naona kama alikuwa upande wao.

Kikubwa kingine mnachojichanganya ni pale mtu unapofurahia Clouds kukosa kufanya FIESTA na ukashangilia Wasafi kufanya Wasafi Festival bila kujua kuwa zote ni mali za mtu mmoja ama zina maslahi na mmiliki mmoja (Kusaga) japo nina imani na Ruge ana maslahi yake.
Mhhh, ngumu kumeza hii, ruge wala kusaga hawana chao wasafi festival na wala sio waanzilishi wa tamasha hilo
 
Hivi kwa akili yenu mnakubali kabisa kwamba kuzuiwa kufanyia Leaders club ndo kumewafanya wasifanye FIESTA??

Yani mnashindwa kufikiri kwamba bado kulikuwa na uwezo wa kuahirisha tarehe na kuandaa venue nyingine kuliko kupoteza hayo mamilioni??

Mi bado siamini kama kutofanya hiyo FIESTA tatizo ni hiyo manispaa kuwanyima Leaders.

Alafu safari hii Bashite naona kama alikuwa upande wao.

Kikubwa kingine mnachojichanganya ni pale mtu unapofurahia Clouds kukosa kufanya FIESTA na ukashangilia Wasafi kufanya Wasafi Festival bila kujua kuwa zote ni mali za mtu mmoja ama zina maslahi na mmiliki mmoja (Kusaga) japo nina imani na Ruge ana maslahi yake.
Hata mimi nimeona kama lipo jambo, wanavuta pumzi watatuambia.

DAB walishamuangukia, hakuwa na shida nao tena.
 
Ubaya waliuanza wao zamani
Kubwa niliyoona huruma ni kwa mama sakina wa mashujaa band, unajua clouds walifika mahala ikaonekamna kwamba bila wao haji star mkubwa bongo,awe mmarekani,jamaica,hata congo
Mama sakina akamleta nguli lenyewe Jb Mpiana pale leaders,kilichotokea ni kwamba mama wa watu alizimia,umeme ulizenguaaaa ukakatwa,jenereta likawa lishachezewa watu kupiga simu kwa wakodishaji majenereta wanaambiwa yashabukiwa,najua wapo watakaosema leta evidence sijui lete picha ila wadau wanajua NANI WALIOFANYA FITNA HIZI,yule mama wa watu hadi alizimia bila shaka leo anashangilia huko alipo
Channel ten wakajifanya kumpeleka fally ipupa kule arusha kilichowapata walikoma nafikiri hawakurudia tena
Majay Majizo kabla hajaanzisha radio kupitia kampuni ya Entertainment masters,Emasters anaweza kuwa victim mkubwa wa hawa jamaa,kuanzia show ya kina Joe thomas hadi ya kina T pain,Mims pale viwanja vya posta,iliwauma sana jamaa wa mjengoni WAKATENGENEZA UZUSHI KWMBA TPAIN KASEMA HAJAWAHI KUPAFOMU SHOW MBOVU KAMA YA TANZANIA,aisee nafikiri hiyo kitu hadi leo majay hajasamehe
 
Back
Top Bottom