Clouds media wanavuna walichopanda wasitafute mchawi

Wewe unayewatetea Clouds kila uzi wàmekulipa sh ngapi hili ni jukwaa huru tusilazimishane kuaminishana vitu we vipi .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Siwatetei ilaa nashangaa mnaofurahia kuanguka kwa Clouds bila kujua wakibaki Wcb pekee Tabu itakuwa zaidi ya clouds aisee.....yanii hamjui mnachokiombaa ipo siku wasanii watamlamba miguu mondi awalipe hata hela ya chaii...
 
Amini usiami Wasafi Festival kufanyika Uwanja wa Taifa halafu mapato kwenda kulipa Koro Show[emoji41]
 
Sijawazungumzia Hao Wasafi kwasabab siwajui vizuri
Sijawahi hata siku moja kula bidhaa yao ya Wasafi TV au fm

Ila na wao kama wanafanya ujanja ujanja ustarajie watafika mbali
 
Hata hujui nini umeandika....eti ruge ashawiahi,hujui kama ruge anaumwa?
 
Hata mimi inanishangaza pia mkuu.
Hivi huyu Diamond kwanini amefurahi sana Fiesta kutofanyika,hajua kama kama Wasafi na Clouds ni mali za mtu mmoja?
Alafu anatumia nguvu nyingi sana kushindana na clouds,haujui kama anashindana na kampuni ya boss wake?
Au ndio kusema Diamond anaigiza?
Anawafanya Watanganyika wajinga!?
 
Wagonjwa ndo wameomba ilo tamasha lisitishwe watawapigia kelele si wapeleke hata uwanja wa shamba la bibi.kwani lazima leaders
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…