Clouds mnatumika na Yanga kuharibu biashara ya jezi za Simba

Clouds mnatumika na Yanga kuharibu biashara ya jezi za Simba

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nimesikiliza kipindi cha michezo cha Clouds Leo wakiwanukuu mashabiki wanaojidai ni wa Simba wakiponda kibegi, huku kwangu naona ni kuharibu biashara na sio fair kabisa.

Jezi za Simba zina quality ya kutosha, isipokuwa kuna wahuni kwenye vyombo vya habari wanalipwa viposho ili kuharibu biashara za watu, imewauma kibegi kuzinduliwa juu ya mlima kilimanjaro.
 
Nimesikiliza kipindi cha michezo cha Clouds Leo wakiwanukuu mashabiki wanaojidai ni wa Simba wakiponda kibegi, huku kwangu naona ni kuharibu biashara na sio fair kabisa.

Jezi za Simba zina quality ya kutosha, isipokuwa kuna wahuni kwenye vyombo vya habari wanalipwa viposho ili kuharibu biashara za watu, imewauma kibegi kuzinduliwa juu ya mlima kilimanjaro.
Kwa nini unasema ni mashabiki "wanaojidai" kuwa ni wa Simba! unawajua?. Tusiwe tunawapangia watu namna ya kufikiri au kutoa mawazo yao.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nimesikiliza kipindi cha michezo cha Clouds Leo wakiwanukuu mashabiki wanaojidai ni wa Simba wakiponda kibegi, huku kwangu naona ni kuharibu biashara na sio fair kabisa.

Jezi za Simba zina quality ya kutosha, isipokuwa kuna wahuni kwenye vyombo vya habari wanalipwa viposho ili kuharibu biashara za watu, imewauma kibegi kuzinduliwa juu ya mlima kilimanjaro.
Hawataweza..nguvu ya Simba ni kubwa sana
 
Unahakika gani kuwa yule sio shabiki wa simba?

Ameeleza vizuri, jezi ni nzuri ila sio sana kama ilivyotegemewa. Tatizo simba na yanga, vitu vinakuzwa sana kiasi cha watu kutengeneza expectations zao kichwani. Kisaikolojia kitu kikiwa hyped sana, hudisapoint.
 
Mimi nimeiona jezi ya simba ya blue usiku huu. Haina maajabu kama tu zilivyo za yanga..
 
Haujawasikiiliza RFA(Radio Free Africa ya Mwanza).Wakianza kutangaza habari za Simba Sports Club wanakuwa wanyonge sana.Sijui Simba SC imewaudhi nini![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wale ni wehu Kwanza hawana data kabisa hua wanaongea habari za uongo kabisa na pumba nyingi sana
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wale ni wehu Kwanza hawana data kabisa hua wanaongea habari za uongo kabisa na pumba nyingi sana
Na wakiona habari za SSC wanamuweka mwanamama atangaze.Kinyooooooongeeeeee!😂😂😂😂
 
Ni Jambo la kawaida unaweza kuona nguo nzuri mwingine asiipende.ila ukifananisha na za singida au wananchi za Makolo ni za ovyo mmeudharirisha mlima wetu
 
Heshima mawazo ya wenzako
Hatuwezi kuwa na mtazamo sawa
 
Makolo bhana sasa hamjui kama tz ninchi huru kwan nilazima kila mwanasimba asifie kitu ambacho kwake nikibovu
 
Nimesikiliza kipindi cha michezo cha Clouds Leo wakiwanukuu mashabiki wanaojidai ni wa Simba wakiponda kibegi, huku kwangu naona ni kuharibu biashara na sio fair kabisa.

Jezi za Simba zina quality ya kutosha, isipokuwa kuna wahuni kwenye vyombo vya habari wanalipwa viposho ili kuharibu biashara za watu, imewauma kibegi kuzinduliwa juu ya mlima kilimanjaro.
hivi hamjawasha moto kule milimani.
 
Back
Top Bottom