Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Huu ni umbwiga... unataka watajwe nani Mkuu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳😳 Media yake?Mzee baba media yako inatabia ya umama na inapoteza credibility muda unavyozidi kwenda.
Nasikia ndio anapofanya kazi pale😳😳 Media yake?
Mmmh kwa hizo akili zake,bado najiuliza mchango wake katika kuhakikisha hiyo media inasurvive kwenye hii game.Nasikia ndio anapofanya kazi pale
Kwa jinsi ninavyoona hata wakikwepa hilo swali bado jina la Diamond lita pop up kwenye hayo maongezi kwa namna nyingine.Katika Maswali yao 10, Waache kuuliza swali moja tu, Msanii Gani wa Tanzania anafanya vizuri huko kwao. Wakiacha kuuliza swali hili watamuepuka Mondi the Don
Huyu aliyeimba wimbo wa Mediocre vipi ?Tanzania tuna international acts kwenye music sana sana wawili
1. Platnumz
2. Vee money
kibaya vee anafichwa na hizi teams pamoja na industry kutawaliwa na wanaume
Hapo ni sawa sawa upo kwenye mkutano wa Ccm halafu mc anaropoka pipoooooooooz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya jana mwengine kwenye show nae karopoka tena,kuna uwezekano nae akafanya kama Joeboy kabla ya kuondoka akaenda kwa Diamond [emoji23] [emoji1787] .
Hata mimi sitaki kuamini kabisa Hilo swala.Uandishi wake,hoja zakena jinsi anavyoshinda humu Jf, hawezi kuwa mtu wa tasnia ya habari, hawezi kabisa.Huyo Ni jobless tu.Media gani itaajiri huyu punga??? Jobless hili jamaa.
Ndo mjue kuwa yeye ndie msanii maarufu zaidi kutoka hapa Tanzania.Tatizo liko wapi wakimtaja?
Huyo tunamjua hapahapa tz, akizidi Sana Ni Kenya.Huyu aliyeimba wimbo wa Mediocre vipi ?
🤣🤣🤣🤣🤣Mmmh kwa hizo akili zake,bado najiuliza mchango wake katika kuhakikisha hiyo media inasurvive kwenye hii game.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo ni sawa sawa upo kwenye mkutano wa Ccm halafu mc anaropoka pipoooooooooz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio uiambie media yako Diamond Ni Kama mma hakwepeki Wasanii wao hawatajwi 🤣🤣🤣Tatizo liko wapi wakimtaja?
Media yangu??Ndio uiambie media yako Diamond Ni Kama mma hakwepeki Wasanii wao hawatajwi 🤣🤣🤣
Sasa hapo tatizo liko wapi?Ndo mjue kuwa yeye ndie msanii maarufu zaidi kutoka hapa Tanzania.
Hakika bado hujamuelewa mleta madaMimi naona clouds na eatv wako SAHIHI.bifu lako na diamond usiwaambukize wenzio.
Safi Sana kwa clouds na eatv