johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mjengo wa Shangazi Biggie!Hiyo kisaikolojia inaonesha hawakukubaliana na ile adhabu, wanaona walionewa ila wakakosa pakukimbilia, ndio maana leo wanafurahia kutoka jela ya uonevu.
Walijifanya proCCM Sasa yaliyowakuta watajitakari kwa umakini.Hiyo kisaikolojia inaonesha hawakukubaliana na ile adhabu, wanaona walionewa ila wakakosa pakukimbilia, ndio maana leo wanafurahia kutoka jela ya uonevu.
Wamemaliza kimya kimya bila vijembe ukikosea unatakiwa kukiri kosa na kukubali adhabu haijalishi!
Hakuna aliye juu ya sheria.Walijifanya proCCM Sasa yaliyowakuta watajitakari kwa umakini.
Acha ushamba, unajua dictatorship rulling ilivyo?Kwenye nchi za madictator ukionewa ww ndio unatakiwa uombe msamaha!
Kosa wafanye NECHatimaye Clouds Media Group wamemaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha siku 7 waliyopewa na TCRA na wamerudi hewani rasmi.
Kinachoendelea sasa luningani ni sherehe ya wafanyakazi baada ya kutoka kifungoni, ni full shangwe.
CCM hoyeeee!
Maendeleo hayana vyama!
Acha ushamba, unajua dictatorship rulling ilivyo?
Wapigwe ban ya mwezi mzimaHatimaye Clouds Media Group wamemaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha siku 7 waliyopewa na TCRA na wamerudi hewani rasmi.
Kinachoendelea sasa luningani ni sherehe ya wafanyakazi baada ya kutoka kifungoni, ni full shangwe.
CCM hoyeeee!
Maendeleo hayana vyama!
Msalimie Ally kessy. Vipi atashinda mwaka huu?Mbona redion siwapati? Au kwa vile nipo huku NAMANYERE NKASI?
Usijitoe huo 'ufahamu' wako uliobaki kiduchu' katika ubongo wako.Hakuna aliye juu ya sheria.
Mbona gazeti la Uhuru la CCM lilikuwa na habari hiyo hiyo waliyoitangaza Clouds na halijafungiwa?Wanafanya sherehe? Kwahiyo sisi tuliyowapa adhabu wametuona wapuuzi? Subiri
Na hawataweza kukimlilia kwa beberu, hao ni wazawa, shida zao zitatatuliwa na wazawa wenzao.Hiyo kisaikolojia inaonesha hawakukubaliana na ile adhabu, wanaona walionewa ila wakakosa pakukimbilia, ndio maana leo wanafurahia kutoka jela ya uonevu.