Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwakuwa ni msukhuma basi wacha tukusameheAcha ushamba, unajua dictatorship rulling ilivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa ni msukhuma basi wacha tukusameheAcha ushamba, unajua dictatorship rulling ilivyo?
Wenyewe wanajiona ndiyo kila kitu hapa Tanzania, lkn siku ipo watalia na kusaga menoKosa wafanye wapuuzi wa NEC
Adhabu wapewe CMG.
Ujinga ulioje huu
WasafiNaona hapo ndipo tilipofikia na serikali ya viwanda.
1. MwanaHALISI - Fungia
2. Tanzania Daima - Fungia
3. Mawio - Fungia
3. Wasafi FM - Piga faini ndefu sana
4. Clouds - Fungia
5. Redio Uhuru - (Kosa kama la Clouds) - Hakuna adhabu
Mpaka mtakapo wacha kuichagua ccm ndiyo mtafaidi matunda ya uhuruMbona redion siwapati? Au kwa vile nipo huku NAMANYERE NKASI?
Huyo akili zake kasha zikabidhi kwa chakubangaUsijitoe huo 'ufahamu' wako uliobaki kiduchu' katika ubongo wako.
Haya ya CCM katika michakato ya chaguzi unayaona kwa jicho chongo?
[emoji23][emoji1787]Kusherehekea baada ya kumaliza adhabu na lenyewe ni kosa.Tunawapiga ban tena
Tatizo umerukia treni kwa mbele sasa miguu imesagikaAcha ushamba wewe ccm chadema nccr zinahusikaje hapa?
Kwamba tukichagua upinzani tcra itafutwa au sio
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kwani yeye nani? Una mmind weweKwamba hata Adam mchomvu nae anatafta uteuzi au sio
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Yes utawala mpya utafumua 'panya' wote walio na wanaotumia taasisi ya TCRA kama ngao ya kuilinda CCM.Acha ushamba wewe ccm chadema nccr zinahusikaje hapa?
Kwamba tukichagua upinzani tcra itafutwa au sio
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Basi wewe utakuwa na ushabiki upotoloNani karukia tren kati yangu na wewe?
Acha ushabiki maandazi mkuu
Hivyo vyeo vyote vimejazana ndani ya ccmLabda ateuliwe kuwa waziri wa bange na mitama
Umekosa cha kusoma?!Umekosa cha kuandika?
Maishani kosa vyoote lkn usiombe ukose akiliUmekosa cha kusoma?!
Kuna wimbo wa Rayvany wenye explicit content, waliupiga kwenye redio yaoWasafi
Walifanya uchaf gani Tena mkuu? Tatizo wabongo sisi ni woga. Hao wangeungana kwa umoja wao Wakapiga kelele kwa umoja wao na kugoma kutoa habari za serikali..shezny zao
Tuone hata kapicha mamiiiMamy baby anajua kucheza...