NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 366
Kwani huelewi hata Mfungwa akitoka jera lazima afurahie kuwa huruWanafanya sherehe? Kwahiyo sisi tuliyowapata adhabu wametuona wapuuzi? Subiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huelewi hata Mfungwa akitoka jera lazima afurahie kuwa huruWanafanya sherehe? Kwahiyo sisi tuliyowapata adhabu wametuona wapuuzi? Subiri
Bwashee walifungiwa kwa kutangaza habari za siasa ndio maana iko hapa!Narudia tena, kwenye nchi za madictator uchwara, ukionewa ww ndio unatakiwa kuomba msamaha. Halafu hii mada sio ya kisiasa, ipelekwe habari na hoja mchanganyiko.
"hoyee" ndiyo nini?Hatimaye Clouds Media Group wamemaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha siku 7 waliyopewa na TCRA na wamerudi hewani rasmi.
Kinachoendelea sasa luningani ni sherehe ya wafanyakazi baada ya kutoka kifungoni, ni full shangwe.
CCM hoyeeee!
Maendeleo hayana vyama!
Yapi sasa?Usijitoe huo 'ufahamu' wako uliobaki kiduchu' katika ubongo wako.
Haya ya CCM katika michakato ya chaguzi unayaona kwa jicho chongo?
Umeshapanic bwashee...... hahahaaaa!"hoyee" ndiyo nini?
MATAGA mna shida sana na vielimu vyenu vya lanne.
Hatimaye Clouds Media Group wamemaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha siku 7 waliyopewa na TCRA na wamerudi hewani rasmi.
Kinachoendelea sasa luningani ni sherehe ya wafanyakazi baada ya kutoka kifungoni, ni full shangwe.
CCM hoyeeee!
Maendeleo hayana vyama!
Vyombo vya habari vya uma au ccm ndio vyombo pekee vilivyo na usalama asilimia 100.Tena wapuuzi haswaaaaaa. Mbona gazeti la Uhuru la CCM lilikuwa na habari hiyo hiyo waliyoitangaza Clouds na halijafungiwa?
Yes hata Adam anachombeza vimipasho fulani.unaona walionewa...wakome kujipendekezaHiyo kisaikolojia inaonesha hawakukubaliana na ile adhabu, wanaona walionewa ila wakakosa pakukimbilia, ndio maana leo wanafurahia kutoka jela ya uonevu.
Upo gizani kanawe uso mjomba!Yapi sasa? f
Fafaanua
Hahahhahaa...Wanafanya sherehe? Kwahiyo sisi tuliyowapata adhabu wametuona wapuuzi? Subiri
Dankie.Upo gizani kanawe uso mjomba!
Au pengine wewe ni 'msukule' unasetiwa tu.
Umekosa cha kuandika?Hatimaye Clouds Media Group wamemaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha siku 7 waliyopewa na TCRA na wamerudi hewani rasmi.
Kinachoendelea sasa luningani ni sherehe ya wafanyakazi baada ya kutoka kifungoni, ni full shangwe.
CCM hoyeeee!
Maendeleo hayana vyama!
Wacha kujipendekeza, punguza njaa zakoWamemaliza kimya kimya bila vijembe ukikosea unatakiwa kukiri kosa na kukubali adhabu haijalishi!
Watangazaji wote wa clouds ni watafuta teuziWalijifanya proCCM Sasa yaliyowakuta watajitakari kwa umakini.
Nchi ya maajabu sanaKwenye nchi za madictator ukionewa ww ndio unatakiwa uombe msamaha!
Naona hapo ndipo tilipofikia na serikali ya viwanda.Vyombo vya habari vya uma au ccm ndio vyombo pekee vilivyo na usalama asilimia 100.
Hivyo tuwakumbushe Makampuni wajue wanapopeleka matangazo yao kwenye hizo redio na TV binafsi zitafungiwa muda wowote na matangazo yao hayatosikika.
Jiwe yupo juu ya sheriaHakuna aliye juu ya sheria.
Mue nimewakutaniza kwabkideo..bang la haja mzee. ..kamamy baby kanacheza poa..sijui na dj Nani yule ndo wanajua kuchezaMbona redion siwapati? Au kwa vile nipo huku NAMANYERE NKASI?