Clouds wamaliza adhabu ya TCRA warudi hewani kwa mbwembwe!

Narudia tena, kwenye nchi za madictator uchwara, ukionewa ww ndio unatakiwa kuomba msamaha. Halafu hii mada sio ya kisiasa, ipelekwe habari na hoja mchanganyiko.
Bwashee walifungiwa kwa kutangaza habari za siasa ndio maana iko hapa!
 
"hoyee" ndiyo nini?

MATAGA mna shida sana na vielimu vyenu vya lanne.
 
Kwenye hiki kipindi kifupi TBC ilipata Watazamaji na Wasikilizaji wengi, TCRA na TBC wakae chini waone namna ya kutengeneza tena mazingira kama haya.
 
Tena wapuuzi haswaaaaaa. Mbona gazeti la Uhuru la CCM lilikuwa na habari hiyo hiyo waliyoitangaza Clouds na halijafungiwa?
Vyombo vya habari vya uma au ccm ndio vyombo pekee vilivyo na usalama asilimia 100.

Hivyo tuwakumbushe Makampuni wajue wanapopeleka matangazo yao kwenye hizo redio na TV binafsi zitafungiwa muda wowote na matangazo yao hayatosikika.
 
Hiyo kisaikolojia inaonesha hawakukubaliana na ile adhabu, wanaona walionewa ila wakakosa pakukimbilia, ndio maana leo wanafurahia kutoka jela ya uonevu.
Yes hata Adam anachombeza vimipasho fulani.unaona walionewa...wakome kujipendekeza
 
Umekosa cha kuandika?
 
Vyombo vya habari vya uma au ccm ndio vyombo pekee vilivyo na usalama asilimia 100.

Hivyo tuwakumbushe Makampuni wajue wanapopeleka matangazo yao kwenye hizo redio na TV binafsi zitafungiwa muda wowote na matangazo yao hayatosikika.
Naona hapo ndipo tilipofikia na serikali ya viwanda.
1. MwanaHALISI - Fungia
2. Tanzania Daima - Fungia
3. Mawio - Fungia
3. Wasafi FM - Piga faini ndefu sana
4. Clouds - Fungia
5. Redio Uhuru - (Kosa kama la Clouds) - Hakuna adhabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…