Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haahhaahahah yuko bze anatangaza bidhaa yake ya mo fayaaaaMbona winga wa Coastal Union hayupo?
aiseee,,,Hao wasanii wote wanamezwa na kukalishwa na navy kanzo. Sijaona hata msanii ambaye kalamba million 1 hapo hao ni ni vilaki laki tu
Sibishii kaka [emoji16][emoji16]Anayebisha kuwa hiyo list mbovu anyoshe mkono au ajifanye anajikuna tu
Clouds washenzi sana, yani hii ndo fiesta ya dar? Mbona haina hata wasanii wakubwa? Kina daimond na hamonaizi waku wapi?
Nandy atakuwa na show nyingine some where na ni jambo la kawaida sana so hamna haja ya kuhusisha na swala la kuwa na Diamond Dubai ambapo wote walikua na show ya Pepsi.Unaweza kusema ukaribu wake na Diamond platnumz weekend iliyopita katika show ilifanyika Dubai umemponza mwanamuzuki Nandy baada ya jina lake kufyekelewa mbali na Clouds media kwa wale watakaotumbuiza Jijini Dar ess salaam. Majina yaliyotangazwa Hadi sasa ni
1. Weusi 2. Rostam 3. Fid Q 4. Wakazi 5. Rich Mavoco 6. The Mafik 7. Ben pol 8. Rosa Ree 9. Marioo 10. Barnaba 11. Billnass 12. Chege Chigunda 13. Dogo Janja 14. Msami 15. WhoZu 16. Mimi Mars 17. Lulu Diva 18. Zaiid 19.Mesen Selekta 20. Maua Sama 21. Tid 22. Qchief 23. Juma Nature 24.Jolie 25.Benson 26.Jay Melody 27.Mabantu
28.Brian Simba 29.Amber Lulu
kwani ana hit song??Hivi linah huwa anafanyia show wapi?na mbona hatajwi tajwi kama nandy duh
wamemtosa ata blue mkuu mzee wa amshaamshaClouds wameshindwa kumuwwka hata Ally? Kweli wamefulia