Clouds watangaza 29 watakaotumbuiza Fiesta, Nandy atoswa

Clouds watangaza 29 watakaotumbuiza Fiesta, Nandy atoswa

Clouds washenzi sana, yani hii ndo fiesta ya dar? Mbona haina hata wasanii wakubwa? Kina daimond na hamonaizi waku wapi?
Watakuwepo mbona....Lakini duuh Fiesta imepoteza mwelekeo kabisa, yaani hakuna hata Mega Star mmoja??....wapi Kiba?
 
Unaweza kusema ukaribu wake na Diamond platnumz weekend iliyopita katika show ilifanyika Dubai umemponza mwanamuzuki Nandy baada ya jina lake kufyekelewa mbali na Clouds media kwa wale watakaotumbuiza Jijini Dar ess salaam. Majina yaliyotangazwa Hadi sasa ni
1. Weusi 2. Rostam 3. Fid Q 4. Wakazi 5. Rich Mavoco 6. The Mafik 7. Ben pol 8. Rosa Ree 9. Marioo 10. Barnaba 11. Billnass 12. Chege Chigunda 13. Dogo Janja 14. Msami 15. WhoZu 16. Mimi Mars 17. Lulu Diva 18. Zaiid 19.Mesen Selekta 20. Maua Sama 21. Tid 22. Qchief 23. Juma Nature 24.Jolie 25.Benson 26.Jay Melody 27.Mabantu
28.Brian Simba 29.Amber Lulu
Amber Rutty na Dudu Baya vipi?
 
Huu ujinga wa kuzusha kuwa wasanii wanalipwa laki laki usipokanushwa unageuka kuwa kauli za kweli
Hao wasanii wote wanamezwa na kukalishwa na navy kanzo. Sijaona hata msanii ambaye kalamba million 1 hapo hao ni ni vilaki laki tu
 
Nilijua tu pale ruby maana ni ghafla tu rubby alianza kusifiwa
 
Unaweza kusema ukaribu wake na Diamond platnumz weekend iliyopita katika show ilifanyika Dubai umemponza mwanamuzuki Nandy baada ya jina lake kufyekelewa mbali na Clouds media kwa wale watakaotumbuiza Jijini Dar ess salaam. Majina yaliyotangazwa Hadi sasa ni
1. Weusi 2. Rostam 3. Fid Q 4. Wakazi 5. Rich Mavoco 6. The Mafik 7. Ben pol 8. Rosa Ree 9. Marioo 10. Barnaba 11. Billnass 12. Chege Chigunda 13. Dogo Janja 14. Msami 15. WhoZu 16. Mimi Mars 17. Lulu Diva 18. Zaiid 19.Mesen Selekta 20. Maua Sama 21. Tid 22. Qchief 23. Juma Nature 24.Jolie 25.Benson 26.Jay Melody 27.Mabantu
28.Brian Simba 29.Amber Lulu
Sio kila mtu anaweza pata nafasi.
 
Nandy atakuwa na show nyingine some where na ni jambo la kawaida sana so hamna haja ya kuhusisha na swala la kuwa na Diamond Dubai ambapo wote walikua na show ya Pepsi.

By the way, hivi unafahamu kuwa Dogo Janja na Chege managers wao ndiyo Managers wa Wasafi ila wao wako kwenye show ya Fiesta??
Uyo Manager hana neno kwa boss ..ni mfanya kazi kama wengine
 
Unaweza kusema ukaribu wake na Diamond platnumz weekend iliyopita katika show ilifanyika Dubai umemponza mwanamuzuki Nandy baada ya jina lake kufyekelewa mbali na Clouds media kwa wale watakaotumbuiza Jijini Dar ess salaam. Majina yaliyotangazwa Hadi sasa ni
1. Weusi 2. Rostam 3. Fid Q 4. Wakazi 5. Rich Mavoco 6. The Mafik 7. Ben pol 8. Rosa Ree 9. Marioo 10. Barnaba 11. Billnass 12. Chege Chigunda 13. Dogo Janja 14. Msami 15. WhoZu 16. Mimi Mars 17. Lulu Diva 18. Zaiid 19.Mesen Selekta 20. Maua Sama 21. Tid 22. Qchief 23. Juma Nature 24.Jolie 25.Benson 26.Jay Melody 27.Mabantu
28.Brian Simba 29.Amber Lulu
Hao wote wanakalishwa na Harmonize peke yake.
 
wasanii wote hakuna hata wenye hit song hata moja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unaweza kusema ukaribu wake na Diamond platnumz weekend iliyopita katika show ilifanyika Dubai umemponza mwanamuzuki Nandy baada ya jina lake kufyekelewa mbali na Clouds media kwa wale watakaotumbuiza Jijini Dar ess salaam. Majina yaliyotangazwa Hadi sasa ni
1. Weusi 2. Rostam 3. Fid Q 4. Wakazi 5. Rich Mavoco 6. The Mafik 7. Ben pol 8. Rosa Ree 9. Marioo 10. Barnaba 11. Billnass 12. Chege Chigunda 13. Dogo Janja 14. Msami 15. WhoZu 16. Mimi Mars 17. Lulu Diva 18. Zaiid 19.Mesen Selekta 20. Maua Sama 21. Tid 22. Qchief 23. Juma Nature 24.Jolie 25.Benson 26.Jay Melody 27.Mabantu
28.Brian Simba 29.Amber Lulu
Aslay na blue vipi
 
Back
Top Bottom