Clouds yatoa ufafanuzi malipo ya TSh milioni 629 yaliyotajwa na CAG

Haya maelezo angempa CAG alipoonana nao...
 
Clouds acheni usanii mtajitetea TAKUKURU huko wakati Kigwangala atakapokuwa anahojiwa soon or later

Nitag siku Kigwa au taasisi yeyote ile ikihojiwa let alone kuwajibishwa.

Ripoti ya CAG ni useless haina impact yeyote ile, ni routine tu kila mwaka muda kama huu kuizungumzia na kuisahau after a month.
 
Kweli kichwani umejaa
 
Hivi ni kwann sisi waizi wa kuku tunapigwa sana mvua mahakaman lakin Hawa wabadhilifu wa pesa nyingi za serekali huwa hawachukuliwi hatua yoyote? Yani inachukuliwa kama kashfa tu na mwisho wa siku wanaachwa wanaendelea kuwa wanasiasa au wanaachana na siasa na wanaendelea kula maisha kwa pesa za ufisadi, inawezekana uwizi kwa wanasiasa kuiba pesa nyingi unaruhuswa kisheria
 

Wasimsingizie Mtani wangu Late Ruge.
 
Haya maelezo angempa CAG alipoonana nao...
Amepewa lakini akapuuza
Mmehamia kwenye kusingizia sasa
 
Mbowe alipokula michango ya wabunge mlimchukulia hatua gani?
 
Kuna shida hapa Wizara ilipewa taarifa juu ya utata wa malipo hayo na wakashindwa kujibu ndani ya muda. Sii busara Clouds TV and Radio kwenda kwenye vyombo vya habari na kujibu tuhuma hii kwani hazikuwalenga wao. Huu ni utovu wa nidhamu, CAG hajibiwi hivyo!
 
TRA fuatilia muamala huo hamkupata gawio lenu sasa lala mbele na Clouds TV wazitapike.
 
Clouds hawapo tayari kuchafuliwa
 
Taasisi iliyotuhumiwa haiwezi kujisafisha, hapo wanatafuta pabliki simpathi tu......wasubilie mamlaka itakayokabidhiwa kufuatilia ndiyo italeta majibu.

Wenzao wasafi na tibisi wako kimya, wao wanajifanya kupiga kelele.......mara zote ukiona mtuhumiwa anapepesa pepesa ujue nikweli kaiba
 
Usiwe mwakilishi wa umma, hayo ni maoni yako na sema atakutana na nguvu yako. Umma uutajao ni huo alio kuwa anawadhalilisha kwa kuwaita wanyonge, kisa amewafunga midomo? Hao alio wanyima uhuru wa kuchagua viongozi wawatakao?
 
Hivi CAG alikagua Clouds media? Kama sio wao hawatakiwi kujibu, hata utaratibu wa kujibu hawajui. Kama wana any evidence wapeleke kwa aliyekaguliwa apeleke kwa CAG mambo yaishe sio kupiga porojo za maneno tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…