Clouds yatoa ufafanuzi malipo ya TSh milioni 629 yaliyotajwa na CAG


kwanza nakupongeza sana na mungu akupe afya na akili ya kutambua hayo ukweli watanzania hawajiongezi hivi kila alichofanya makufuli hakifai kina hasara nani yupo nyuma ya hii skendo ya kumchafua hayati makufuli kaaeni mtafakari kabla laaana ya mungu haijashuka
 
Hakuna aibu hapo. CAG naye anababaisha
 
Haha mkuu kumbe alikula chuma!! Mi mwenyewe nlikua sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…