Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
We jamaa comments zako zinaonyesha ni Jinsi gani ulivyo mweupe..Unaonekana ni mtoto au km ni mtu mzima basi ni wale Aina ya watu wa kuitwa 'kubwa jinga'Angalia kati ya Hearts of Oaks na Asante Kotoko yupi yupo highly ranked mwaka huu.
Nani anacheza suer league (anatarajiwa) kati yao.
Leta mrejesho ukipata jibu.
Mnajua Yanga ndiyo timu inayopendwa zaidi Africa mashariki na ya kati. Mnajua hilo, na hampendi.
Halafu ni waoga, mnaiogopa Yanga na wachezaji na viongozi wenu wanaiogopa Yanga.
We can see that in your ugly faces.
Muende mbali zaidi katika mashindano ya Afrika.Siyo kufurahia tu ukimfunga Simba.Halafu Yanga hiyo hiyo ndio mabingwa wa nchi.
Mjitafakari hizo rank zenu halafu ubingwa anachukuwa mwingine.
Wana Yanga wanataka ubingwa na kuwafunga matutusa ya Simba.
Unajamba maputo tu.Yanga haiwezi kuwepo kwasababu kwa kipindi chaa miaka 6 hajashiriki mashindano hayo yanayosimamiwa na CAF so wako sahihi, haya maambo ni kupanda na kushuka.
Yani hizi ranking zinavyoshadadiwa na makolo
Ulishawahi ona wapi nchi kama Belgium wakishadadia ranking za FIFA na wenyewe waanze kujiona ni wa maana zaidi kuzidi FRANCE au PORTUGAL
Huu ujinga utaukuta Tanzania tu kwa "wana thiiimba" (in Ahmed Ally Voice)
NB: Hamna kombe la rankings
Umeelewa lkn , isije hapo una degree ya ualimu ,au no dokta pale muhimbiliHalafu Yanga hiyo hiyo ndio mabingwa wa nchi.
Mjitafakari hizo rank zenu halafu ubingwa anachukuwa mwingine.
Wana Yanga wanataka ubingwa na kuwafunga matutusa ya Simba.
Acha makasiriko we kinye fc...huko kupendwa labda congo tu sababu mnaenda kuchukua wakata viuno kwa mkopoAngalia kati ya Hearts of Oaks na Asante Kotoko yupi yupo highly ranked mwaka huu.
Nani anacheza suer league (anatarajiwa) kati yao.
Leta mrejesho ukipata jibu.
Mnajua Yanga ndiyo timu inayopendwa zaidi Africa mashariki na ya kati. Mnajua hilo, na hampendi.
Halafu ni waoga, mnaiogopa Yanga na wachezaji na viongozi wenu wanaiogopa Yanga.
We can see that in your ugly faces.
Mwambie aulize CAF ni timu ipi inayotoka Ukanda wa Afrika Mashariki ikicheza michezo ya kimataifa inayoleta uchangamfu kuanzia mitaani,mitandaoni hadi viwanjani?Akipata jibu,akae kwa utulivu kujifunza siri za hayo yote.Acha makasiriko we kinye fc...huko kupendwa labda congo tu sababu mnaenda kuchukua wakata viuno kwa mkopo
Hiyo "CUF" unamaanisha nini?Simba wana relax kwa takwimu. Yanga wamepania kuwafunga Simba kesho.
Simba msipojirekebisha kwa kujiona bora sana mtapigwa na Yanga kila Mechi.
Nyie jitazameni tu kwenye rank za CUF.
Hahaha!majamaa yanadeka kama last born..imagn simba kupotiwa kwenye WS ya CAF basi imekuwa nongwa....yaan kiujumla tumewazid kila kitu kuanzia mashabik na followerz.,sasa nashangaa anajitapa kupendwa East Africa....kwa kip alichofanya kimataifa?kwel manara alikuwa sahih..kwamba weny akili pale ni wawili tuMwambie aulize CAF ni timu ipi inayotoka Ukanda wa Afrika Mashariki ikicheza michezo ya kimataifa inayoleta uchangamfu kuanzia mitaani,mitandaoni hadi viwanjani?Akipata jibu,akae kwa utulivu kujifunza siri za hayo yote.
Yanajilizaliza kama ile mitoto ya kuitwa "Juniors"!Wanalilia kukaa sebuleni na wageni wakati hawajaoga na adabu hawana.Mzazi gani mwehu ataruhusu mitoto sampuli hiyo ikamtie aibu kwa wageni?πππHahaha!majamaa yanadeka kama last born..imagn simba kupotiwa kwenye WS ya CAF basi imekuwa nongwa....yaan kiujumla tumewazid kila kitu kuanzia mashabik na followerz.,sasa nashangaa anajitapa kupendwa East Africa....kwa kip alichofanya kimataifa?kwel manara alikuwa sahih..kwamba weny akili pale ni wawili tu
Tatizo lipo hapo, mkishaifunga Simba mmemaliza kazi mnatulia mnasubiri mualiko wa CAF [emoji3][emoji3][emoji3]Sisi hakuna mengi tunaongea tusubirie jumamosi....tunapiga kwenye mshono tena muache kuongea hovyo nyie makolo
Hahah!wakatawadhwe kwanza maana nguo zao za ndani zina....accorng to Manara voiceYanajilizaliza kama ile mitoto ya kuitwa "Juniors"!Wanalilia kukaa sebuleni na wageni wakati hawajaoga na adabu hawana.Mzazi gani mwehu ataruhusu mitoto sampuli hiyo ikamtie aibu kwa wageni?πππ
Ndivyo walivyojiapiza.Kundi fulani la mahopelesses!πππTatizo lipo hapo, mkishaifunga Simba mmemaliza kazi mnatulia mnasubiri mualiko wa CAF [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kwa hii orodha kuna watu wataenda kutafuta vidonge vyao vya preshaView attachment 2321505
Utopolo sio moja ya vilabu vitano bora ukanda wetu wa CECAFA.
ubingwa sio issue sana,kila nchi inabingwa wake hata Elitria,South Sudan inamabingwa wake.Halafu Yanga hiyo hiyo ndio mabingwa wa nchi.
Mjitafakari hizo rank zenu halafu ubingwa anachukuwa mwingine.
Wana Yanga wanataka ubingwa na kuwafunga matutusa ya Simba.