Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
We jamaa comments zako zinaonyesha ni Jinsi gani ulivyo mweupe..Unaonekana ni mtoto au km ni mtu mzima basi ni wale Aina ya watu wa kuitwa 'kubwa jinga'Angalia kati ya Hearts of Oaks na Asante Kotoko yupi yupo highly ranked mwaka huu.
Nani anacheza suer league (anatarajiwa) kati yao.
Leta mrejesho ukipata jibu.
Mnajua Yanga ndiyo timu inayopendwa zaidi Africa mashariki na ya kati. Mnajua hilo, na hampendi.
Halafu ni waoga, mnaiogopa Yanga na wachezaji na viongozi wenu wanaiogopa Yanga.
We can see that in your ugly faces.
Sijui umesoma ulichoandika!!??