Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
WakomeLeo Clab Africain wanacho kipata sidhani kama ndo walicho tarajiaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Faridi Mussa sijui kwanini ana bahati mbaya na NabiFarid Musa in,Morroco out
Acha upambe mkeeGoooooooolmaiyaaaa
Ndoto gani hii ya saa 21:31?Goooooooolmaiyaaaa
Nikweli kabisa ni mchezaji bora sana na anajicho zuri la pasi na kificha mpiraFaridi Mussa sijui kwanini ana bahati mbaya na Nabi
yaan kesho utakuwa wikiend wapende wasipende.Kiutani utani mwarabu anakufa..
mjini hakutakalika
Kutakalika tuKiutani utani mwarabu anakufa..
mjini hakutakalika
Acha niwashtue shtueAcha upambe mkee
Duh!Hatusafirishi maiti tunazika huko huko, marehemu alikuwa na mdomo sana
Aaaah unajishtua mwenyeweAcha niwashtue shtue