Ulisoma post namba 6 ukaona nilijibu nini kuhusu Horoya?:Sasa horoya mbona yupo kwenye list wakati hayupo cl? Pili ikitokea Al ahly, mamelod au raja mmoja akawa bingwa msimu huu hiyo nafasi iliyobaki atajaza nani?
Kwa hali ilivyo sio Simba wala yanga atakaefuzu huko dunianiUlisoma post namba 6 ukaona nilijibu nini kuhusu Horoya?:
Kwahiyo FIFA walipoainisha" VIA CHAMPIONS PATHWAY:3Kwanza ondoa controversial kwenye maneno yako yanayotaja Wydad na Al Ahly kujadikiwa kwenye kikao.
Hilo unabidi uliweke bayana kwanza kabla huko mbeleni hatujaanza kuleteana accusations.
Halafu ukija kwenye swali lako kuwa mimi nimejuaje hapo unakuwa unanipa mashaka kama umeelewa ile screenshot ambayo imetaja sifa ya kuteua Club shiriki kwenye next tournament.
Hiki ulichokiita uthibitisho wa maamuzi ya kikao mbona hapo pichani hakipo?
Huoni screenshot yangu inaonesha Quote ya azimio la kikao cha baraza na yako inaonesha list ya Club?
Hivi kwa akili tu ya kawaida ukiambiwa ulete maamuzi yaliyotolewa kwenye kikao utaleta hiyo list ya Wydad na Al Ahly?
Kwani waliosema kigezo kikuu kitachotumiwa kupanga Club shiriki kuwa ni ranking, ni wakina nani?Kwahiyo FIFA walipoainisha" VIA CHAMPIONS PATHWAY:3
"VIA RANKING PATHWAY: 1
wewe umeelewa nini hapo? Maana kitu kipo wazi kuwa Wydad na Al Ahly wameingia kwenye hapo kigezo cha ubingwa unataka kuleta ubishi usiokuwa na maana. Toa ufafanuzi kwenye hiyo VIA CHAMPIONS PATHWAY
nipe kwanza hapo ufafanuzi kumemaanishwa nini?Kwani waliosema kigezo kikuu kitachotumiwa kupanga Club shiriki kuwa ni ranking, ni wakina nani?
Unajua kuipuuza ile screenshot ni kumaanisha kuwa mimi nimetunga, vinginevyo uniambie imemaanisha nini
Hata mi na wewe tunajua hali ya Simba ni ngumu na hawezi kupata hizo point 30 sababu ni lazima afike fainali at leastMi na wewe wote tunajua Yanga haendi kokote
Ni basi tu ushabiki wa timu ndio unafanya tuwe wabishi.
Wapi?nipe kwanza hapo ufafanuzi kumemaanishwa nini?
Unaweza kuniambia kwanini Simba hapo ipo na kwanini Yanga haipo?Hata mi na wewe tunajua hali ya Simba ni ngumu na hawezi kupata hizo point 30 sababu ni lazima afike fainali at least
Perfomance ya Simba miaka minne amekusanya point 45 .Unaweza kuniambia kwanini Simba hapo ipo na kwanini Yanga haipo?
Nikajua nae amesha fuzu.Bado hajafuzu kwasababu bado mashindano ya klabu bingwa hayajatamatika japo kwasasa ndiye anayeongoza kwa kuwa na point nyingi.
HapaWapi?
Pamoja na yote yanayoendelea Simba, ikipata wachezaji wawili au watatu wenye quality ina timu ya kufika fainaliHata mi na wewe tunajua hali ya Simba ni ngumu na hawezi kupata hizo point 30 sababu ni lazima afike fainali at least
Nilipoona watu wanakuja na post za kuonesha Yanga pia imetajwa na FIFA nilistuka.
Nikajiuliza hawa FIFA wamejisahau vipi kuweka dust kwenye list.
Ikabidi niingie chaka kusaka hizo data lakini kila napopita kwenye official site za FIFA nakutana na list ya vilabu 12 tu
Kwa hiyo nimepata mashaka kuwa watu wameamua kucheza na Photoshop ili kujilisha upepo mashabiki wa Yanga waamini nao pia wapo.
Yaan timu zilizoorodhwa pale kuanzia ya tatu hadi 12 ndo zitachuana kuzidiana points katika ligi ya mabingwa atakevuna points nyingi kuzid mwenzie ndo atakuwa ameshafuzu, kumbuka al ahyl na wydad wamefuzu moja kwa moja,Aliyosema Rage ni sahihi, Yanga inashirki klabu bingwa na moja ya kigezo cha kushiriki michuano ya FIFA club world cup ni kuwa bingwa wa CAFCL halafu mtu anasema timu yako haipo. Una akili timamu? Lini Yanga imetolewa katika mashindano ya klabu bingwa msimu huu?
Kama ulivyoelezea mchakato wa Simba kutafuta point kwa misimu mitano, unaweza kuelezea hivyo hivyo na sababu iliyotumika kumuweka Yanga kwenye tuzo za Club bora?Perfomance ya Simba miaka minne amekusanya point 45 .
Kwani kwa nini Yanga alikjwepo 5 bora ya kuwania tuzo za klabu bora africa na simba hakuwepo?
Hizo point 45 simba amezikusanya past 5 yrs mkuu.
Imewekwa pamoja vilabu vingine vyote vyenye hizo points.
Lakin unapaswa kujua point ngapi simba anahitaji ampite esperance na belouzdad?
Je hizo point zinahitaji afike hatua gani?
Je nao hao hawataongeza ?
Kumbuka chini ya list pia wameiweka Yanga kuwa ina njia ya kufika Club WC.
Je njia ya Yanga na Simba ipi rahisi na ipi ngumu?
Umemaliza kila kituKwa hali ilivyo sio Simba wala yanga atakaefuzu huko duniani
Chini wapi nawe, chura hajulikan yuko nafas yangap afu unasema chin,chini yawapPerfomance ya Simba miaka minne amekusanya point 45 .
Kwani kwa nini Yanga alikjwepo 5 bora ya kuwania tuzo za klabu bora africa na simba hakuwepo?
Hizo point 45 simba amezikusanya past 5 yrs mkuu.
Imewekwa pamoja vilabu vingine vyote vyenye hizo points.
Lakin unapaswa kujua point ngapi simba anahitaji ampite esperance na belouzdad?
Je hizo point zinahitaji afike hatua gani?
Je nao hao hawataongeza ?
Kumbuka chini ya list pia wameiweka Yanga kuwa ina njia ya kufika Club WC.
Je njia ya Yanga na Simba ipi rahisi na ipi ngumu?
Yanga anakuambia kwenye kinyang'anyiro hicho naye yupo ila kumuona ni mpaka uwe na macho ya kirohoYaan timu zilizoorodhwa pale kuanzia ya tatu hadi 12 ndo zitachuana kuzidiana points katika ligi ya mabingwa atakevuna points nyingi kuzid mwenzie ndo atakuwa ameshafuzu, kumbuka al ahyl na wydad wamefuzu moja kwa moja,
We jamaa hata ukijamba kimjbo kitakua kinaliaga yaaangaaa😂😂Lakini Yanga ambaye hapo hayupo ndio hana uwezo kabisa nafuu ya Horoya
Yanga malengo yao ni kufika makundi sasa tunawaongezea step moja mbele ili wakaribiane kwenye hiyo nafasi ya kuweza kufuzuUmemaliza kila kitu