Hilo swali wameulisa wenzako waliotanguliaUnajua kama bingwa wa klabu bingwa msimu huu anafuzu moja kwa moja?
Source gani? Kwani we hujaona TFF hapo imepost?Kwani wewe uliposoma hiyo source umesoma page ngapi?
Kama ungekuwa unajua kigezo cha kucheza hayo mashindano ni kuchukua kombe la klabu bingwa basi usingeangaika na hiyo picha. Ila kutaka kujua kuhusu hiyo picha maanake hujui lolote kuhusu haya mashindano na ndio maana umestuka ulipoiona Yanga roho ikakuruka. Hayo mashindano yeyote atakayebeba kombe atakuwa ameingia moja kwa moja hivyo kati ya timu 14 zinazocheza klabu bingwa hatua ya makundi, yeyote ana nafasi ya kufuzu kupitia kuwa bingwa wa klabu bingwa Afrika. Nimesema 14 kwasababu tayari Al Ahly na Wydad ni mabingwa watetezi hivyo tayari wameshafuzuHilo swali wameulisa wenzako waliotangulia
Usiwaome kama wazembe hawajui mbinu za kujitetea.
Nataka uniletee source ya ile picha yako inayoonesha Yanga ipo.
Mkuu sio wote tunaweza kudonganywa kirahisiBAki na mashaka yako.
Nikielewa mimi inatosha.
Kwanza unabidi ujue idadi ya timu zinazohitajika.Kama ungekuwa unajua kigezo cha kucheza hayo mashindano ni kuchukua kombe la klabu bingwa basi usingeangaika na hiyo picha. Ila kutaka kujua kuhusu hiyo picha maanake hujui lolote kuhusu haya mashindano na ndio maana umestuka ulipoiona Yanga roho ikakuruka. Hayo mashindano yeyote atakayebeba kombe atakuwa ameingia moja kwa moja hivyo kati ya timu 14 zinazocheza klabu bingwa hatua ya makundi, yeyote ana nafasi ya kufuzu kupitia kuwa bingwa wa klabu bingwa Afrika. Nimesema 14 kwasababu tayari Al Ahly na Wydad ni mabingwa watetezi hivyo tayari wameshafuzu
Yote tisa kumi ni kwamba wote mtayatazama mashindano kwenye TVYanga malengo yao ni kufika makundi sasa tunawaongezea step moja mbele ili wakaribiane kwenye hiyo nafasi ya kuweza kufuzu
Lakini kumbe hata tukiwa bust kuwafikisha robo bado hawatopata nafasi.
Simba malengo yake ni nusu fainali au fainali, hawa wapo karibu na shimo na mihemo ya sungura wanaisikia hivyo wakiongeza concentration wanauwezo wa kutoboa.
Lakini sio Yanga, Yanga ambayo ilifanya sherehe ilipofika hatua ya makundi eti uitazamie kuchukua ubingwa.....hilo haliwezekani
Hoja ya kijinga itakuwa umeleta wewe usiyejua kipaumbele ni kipi kati ya wa rank au mabingwa. Ndio maana kuna nafasi tatu upande wa ubingwa vs nafasi moja upande wa rank. Hiyo unayoongelea wewe ni coincidence (ikitokea bingwa wamejirudia) . Je ikitokea Yanga au Asec anabeba ubingwa wa champions league je watakuwa wamekidhi vigezo vya michuano ya FIFA ama lahKwanza unabidi ujue idadi ya timu zinazohitajika.
Ukishajua hilo utaona hoja yako ya kusema kigezo cha kucheza hayo mashindano ni kuchukua ubingwa ni hoja ya kijinga.
Kwasababu kwanza unapaswa uelewe kuwa wakati timu zingine zinatafuta nafasi ya kupita, tayari kuna timu zilishakuwa qualified hazihitaji kufanya jitihada zozote ili zifuzu.
Sasa unaposema kigezo ni mpaka timu ichukue ubingwa, umefikiria hatma itakuwaje ikiwa moja ya hizi timu zilizo qualify zikachukua ubingwa??
Yani Wydad au Al Ahly akichukua ubingwa ina maana watakuwa peke yao kwasababu wengine kushiriki ni mpaka wangechukua ubingwa??
Jibu rahisi ni kuwa iwapo itatokea Wydad na Al Ahly hawajachukua ubingwa basi hiyo nafasi ya mtu kupita kwa kigezo cha ubingwa ndio itakuwa applied.
Vinginevyo maana yake ni point ndio zitazoamua kwenye hizo nafasi mbili zilizobaki na ndio hapo mantiki ya kuletwa orodha ya timu 12 zenye wingi wa point inapojidhihirisha
Mashabiki wa Yanga ni comedian mjajijua tu hivi unafikiri kwanini watu walikuja na ushauri kuwa Club ziwe na idara ya uchekeshaji?Hoja ya kijinga itakuwa umeleta wewe usiyejua kipaumbele ni kipi kati ya wa rank au mabingwa. Ndio maana kuna nafasi tatu upande wa ubingwa vs nafasi moja upande wa rank. Hiyo unayoongelea wewe ni coincidence (ikitokea bingwa wamejirudia) . Je ikitokea Yanga au Asec anabeba ubingwa wa champions league je watakuwa wamekidhi vigezo vya michuano ya FIFA ama lah
Watu wanaamini kwa Yanga hii ya Gamond everything is possibleIla gap la point ni refu kweli.
Unajaribu kushindana na vyura wakiwa dimbwini kukoroma usiku? Mpaka kukuche huna koo.Watu wanaamini kwa Yanga hii ya Gamond everything is possible
Kwahiyo hayo maelezo umeweza kuyasoma ila kuendelea mpaka chini ukaona utaumbuka?Mashabiki wa Yanga ni comedian mjajijua tu hivi unafikiri kwanini watu walikuja na ushauri kuwa Club ziwe na idara ya uchekeshaji?
Waliwaangakia nyinyi wakaona hivyo vipaji vilivyo jificha.
Ebu nisomee hapa kigezo kilichotumika kupitisha timu za kushiriki World Cup
View attachment 2853092
Twende taratibuKwahiyo hayo maelezo umeweza kuyasoma ila kuendelea mpaka chini ukaona utaumbuka?
walipoandika
"AFRICA – 4 teams
Via champions pathway (CAF Champions League) – 3 teams
2020/21 and 2022-23: Al Ahly SC (EGY)
2021/22: Wydad AC (MAR)
2023/24: TBC
Via ranking pathway – 1 team
TBC "
Haya via champions kuna pathway 3, tayari kuna wawili wameshapatikana ambao ni hapo wameainisha ni Al Ahly na Wydad ambao ni bingwa wa CAFCL 2021, 2022 na 2023. Je hiyo nafasi moja katika via champions league inapatikana kwa kutumia mashindano ya msimu upi?
Usihame, jibu swali kama nilivyouliza. Kama uwezi tulizana, sio kuuliza swali kabla hujanijibu swali langu juu.Twende taratibu
Kabla ya mashindano haya kuwa extended unajua sheria iliyotumika kupata timu shiriki?
Kwasababu nimebaini nabishana na mtu ambaye hajui chochote kuhusu mchakato uliotumikaUsihame, jibu swali kama nilivyouliza. Kama uwezi tulizana, sio kuuliza swali kabla hujanijibu swali langu juu.
Haha sawaKaka pole
Me nlishamjua huyoo😅