makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kaka Kwani kuna ubaya gani kusifia Madrid ilivyo Hii leo!!?wachangiaji wengi naona ni vijana wa juzi humu,
hii madrid ya leo wala haiwakaribii galacticos ya kina zizou,
hawa madrid walikua na watu sio mchezo, kina casilas, roberto carlos, hierro, makelele, beckham, zidane, Raul, Ronaldo 9, Figo, owen n.k........
hawa miamba hawakushinda CL, kuna msimu walimaliza bila taji,........
Kama simba tunnavopata taabumashabiki wa Barcelona tutapata tabu sana msimu ujao
Epl haikuwa ya moto kivile, Italy palikuwa pamoto sana chini ya utawala wa Ac Millan ya Maldin, Sedoff, Dida, pipo inzagh, shevchenko, kaka, rui Costa 😁,, lakin cha ajabu walipotea Kwa Liverpool final ya miujiza 😁Kaka Kwani kuna ubaya gani kusifia Madrid ilivyo Hii leo!!?
Hao uliowataja walikua wanashindana na kina Nani?
Kipindi hicho Seria A timu zipo Moto, EPL ndio usiseme, Ufaransa walikuepo Lyon Watu wa maana kabisa, Germany vile vile, sasa utalinganisha na kizazi hiki?
Saivi Timu nyingi zipo Hoi Mwenye afadhari ni city, kwahyo tusiisifie na kuitabilia makubwa Madrid Hii et kisa kina flani walishindwa???
Hata Perez angekua na mawazo Kama hayo basi asingekua anasajili majina makubwa kisa kina De Lima walifeli.
Mbappe na Vini mi naanza na Vini kushoto. Mbappe akae kati. Bado nina mashaka na uwezo wa Mbappe nje ya klabu inayoabudiwa na wengine wote huku yeye akiabudiwa na timu nzima.Najaribu kuwaza itajuwaje.. Mbappe na vini wanakuwa bora zaidi wakitokea upande wa kushoto, aidha LF ama LS, huku kwingine watacheza tu ila ubora ni wakitokea kushoto. Binafsi yangu nikiambiwa nianze na yupi mitaanza na mbappe hilo halina ubishi ila vini nae si mchezaji wa kuanzia benchi.
Mbappe na Vini mi naanza na Vini kushoto. Mbappe akae kati. Bado nina mashaka na uwezo wa Mbappe nje ya klabu inayoabudiwa na wengine wote huku yeye akiabudiwa na timu nzima.
Kiukweli angekuja EPL ndiyo ningezidi kutamani kumuangalia atafanya nini huku kwenye malow block ya kila aina
Messi, Xavi & Iniesta.
Hata EPL Kaka kulikua Moto Tazama 2005 kachukua Liverpool,Epl haikuwa ya moto kivile, Italy palikuwa pamoto sana chini ya utawala wa Ac Millan ya Maldin, Sedoff, Dida, pipo inzagh, shevchenko, kaka, rui Costa 😁,, lakin cha ajabu walipotea Kwa Liverpool final ya miujiza 😁
Shida kwa mda ule kulikuwa na ma beki wazuri sikuizi tia maji tu🙌Messi, Xavi & Iniesta.
Wali achieve nini cha maaana🤔acha kulinganisha akina Xavi na Iniesta na vitu vya kipumbavu
Mungu awabariki sana na familia yako idumu.Alhamdulillah naye ni mpenzi wa soka tena anajua sana pia, kwa kweli ni raha sana as tunaongea lugha moja japo ni watani.
Nilitaka kuandika ichi ulicho andika mkuu umeniwahiKaka Kwani kuna ubaya gani kusifia Madrid ilivyo Hii leo!!?
Hao uliowataja walikua wanashindana na kina Nani?
Kipindi hicho Seria A timu zipo Moto, EPL ndio usiseme, Ufaransa walikuepo Lyon Watu wa maana kabisa, Germany vile vile, sasa utalinganisha na kizazi hiki?
Saivi Timu nyingi zipo Hoi Mwenye afadhari ni city, kwahyo tusiisifie na kuitabilia makubwa Madrid Hii et kisa kina flani walishindwa???
Hata Perez angekua na mawazo Kama hayo basi asingekua anasajili majina makubwa kisa kina De Lima walifeli.
Kwa sasa mkuu wasipochukua ni uzembe sababu kwa sehemu kubwa sana ulaya vipaji vya mpira vimeshuka. Zamani ukiiona Madrid ya moto, basi Barcelona, Man U, Liverpool, AC Milan n.k unawakuta wa moto pia sio kama sasa hivi timu za moto zinajulikana kirahisi sana, ukimtoa Madrid mwamba mwingine ni Man City.wachangiaji wengi naona ni vijana wa juzi humu,
hii madrid ya leo wala haiwakaribii galacticos ya kina zizou,
hawa madrid walikua na watu sio mchezo, kina casilas, roberto carlos, hierro, makelele, beckham, zidane, Raul, Ronaldo 9, Figo, owen n.k........
hawa miamba hawakushinda CL, kuna msimu walimaliza bila taji,........
mie ni shabik mkubwa wa man UTD, lakin tulimtoa Barcelona Kwa mbinde sana, goal la scholes.Hata EPL Kaka kulikua Moto Tazama 2005 kachukua Liverpool,
2006 Arsenal kafika final, 2007 LiIverpool final,
2008 Chelsea Vs Manchester United final, 2009 Manchester final.
Cheki mambo hayo.
Wali achieve nini cha maaana🤔
Kufananisha na achievements za kroos na modric au🤔world cup
2 euros
4 champion league
9 Laliga
na above all waliupiga mwingi hawakuwa wakibahatisha, Hakuna mtu anaweza zisahau Spain na Barca walizocheza wao, wapinzani walikuwa wakilala na viatu baada ya mechi.