Club ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili Kylian Mbappe kwa mkataba wa miaka mitano

Club ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili Kylian Mbappe kwa mkataba wa miaka mitano

FB_IMG_17176795778582919.jpg
 
Hakuna mchezaji mwenye kiwango cha kumfikia Mbappe duniani kote.

Tatizo linakuja, akina nani watahamia mbao ndefu?, hilo swali jibu analo Anceloti na Perez
 
Siye.

Mkuu, naupenda mpira kwa kuufuatilia tokea nikiwa kabinti kadogo sana, na niliucheza sana pia.
Naam, naufahamu kiundani.
Asante
Nadhani umepitiwa tu! Lakini wewe ni mshabiki mzuri.
 
Najaribu kuwaza itajuwaje.. Mbappe na vini wanakuwa bora zaidi wakitokea upande wa kushoto, aidha LF ama LS, huku kwingine watacheza tu ila ubora ni wakitokea kushoto. Binafsi yangu nikiambiwa nianze na yupi mitaanza na mbappe hilo halina ubishi ila vini nae si mchezaji wa kuanzia benchi.
Mkuu Vin siyo mchezaji wa kuwaziwa kuwekwa benchi.
 
Yaani hawa Vini na mbappe kwa kuwa wote wanapenda kutokea kushoto mimi km kocha nawatupia wote kushoto mbona unyama tu...
 
Back
Top Bottom