dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
shida ya kunywa visungura mchana wa jua kali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujui uwezo wa mbape subiri magoliKylian Mbappe kapotea kujiunga na Madrid kwakuwa sioni nafasi yake ya kucheza na je ni kwa namna gani atavunja utawala wa Vini jr
AaaaahaaaaKwahiyo kihasibu, hiyo ni hasara au sio.....
Kilichomkuta Sasa"Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani
kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa."
OKW BOBAN SUNZU, 2022.
NAKAZIAKwahiyo kihasibu, hiyo ni hasara au sio.....
Una debit mbappe account afu unaceedit VC jr accountKwahiyo kihasibu, hiyo ni hasara au sio.....
Wazee wa vibanda umiza huwa mnajikuta wajuaji sana😀Kylian Mbappe kapotea kujiunga na Madrid kwakuwa sioni nafasi yake ya kucheza na je ni kwa namna gani atavunja utawala wa Vini jr
Nadhani umepitiwa tu! Lakini wewe ni mshabiki mzuri.Siye.
Mkuu, naupenda mpira kwa kuufuatilia tokea nikiwa kabinti kadogo sana, na niliucheza sana pia.
Naam, naufahamu kiundani.
Asante
Mkuu Vin siyo mchezaji wa kuwaziwa kuwekwa benchi.Najaribu kuwaza itajuwaje.. Mbappe na vini wanakuwa bora zaidi wakitokea upande wa kushoto, aidha LF ama LS, huku kwingine watacheza tu ila ubora ni wakitokea kushoto. Binafsi yangu nikiambiwa nianze na yupi mitaanza na mbappe hilo halina ubishi ila vini nae si mchezaji wa kuanzia benchi.
Bibie ukiishiwa hoja usitukane watu kaa tu kimya ndio uungwana.siwezi poteza muda na wendawazimu