Kufananisha na achievements za kroos na modric au🤔
Modric lini ameshinda World Cup? Kroos amewahi shinda euro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufananisha na achievements za kroos na modric au🤔
Balon d'or 1 inatoshaModric lini ameshinda World Cup? Kroos amewahi shinda euro?
Mi miltao hapana Kaa kweli Imani yangu imepungua kwake,
Na shabiki wa Chelsea akija atakwambia Barcelona alimtoa Chelsea Kwa figisu Ile 2009. 😃mie ni shabik mkubwa wa man UTD, lakin tulimtoa Barcelona Kwa mbinde sana, goal la scholes.
Tchouameni hachezi vizuri beki wa kati kumzidi MilitaoMi miltao hapana Kaa kweli Imani yangu imepungua kwake,
Kwa sasa namuamini Sana Tchouameni
Mwamba asipokuepo kwenye line up nakuaga na wasiwasi Sana.
Miltao huyu wa sasa sio wa mwanzo wa Msimu, Kama ataendeleza na kiwango kibovu hivi Bora zaidi Tchouameni.Tchouameni hachezi vizuri beki wa kati kumzidi Militao
Xavi na Iniesta hawa hawa wanaozidiwa magoli na S.Ramos au?acha kulinganisha akina Xavi na Iniesta na vitu vya kipumbavu
Xavi na Iniesta hawa hawa wanaozidiwa magoli na S.Ramos au?
kwani kuna wachezaji wanaokatazwa kufunga?Unatatizo kubwa kwenye uelewa wa mpira, sasa Xavi afunge magoli mengi ili iweje?
kwani kuna wachezaji wanaokatazwa kufunga?
KwaniniUngesubiri uamke kwanza kuliko kuandika uzi huku ukiwa ndotoni.
Hujui Mpira kakojoe kalaleKylian Mbappe kapotea kujiunga na Madrid kwakuwa sioni nafasi yake ya kucheza na je ni kwa namna gani atavunja utawala wa Vini jr
KabisaKwahiyo kihasibu, hiyo ni hasara au sio.....