CUF inaitambua Simba kama club bora ya muda wote Tanzania, sijui unajua hili??
Hawa jamaa zetu rage akukosea kuwaita mbu3,akikujibu ili swali nimention mkuuMatopeni nayo imo au ndiyo kwanza inaingia with unexpected results?
Niambie Real Madrid ipo kwenye mfumo gani. Ndiyo Club iliyoshinda zaidi Champions League including back to back
Wanachama wa mambele c ombaomba ka akilimali,mkwasa na ww ukiwemo bila kusahau bilinganya Muro.Club bora kabisa duniani Real Madrid inamilikwa na kuendeshwa na wanachama hadi leo.
Ndiyo Club iliyoshinda zaidi Champions League pamoja na back to back.
Rais wao huchaguliwa na wanachama. Lakini ni vigumu Mbumbumbu kuyajua haya. Barcelona ina mfumo huo huo.
Kuna namna nyingi za kuendesha Club. Si lazima iwe bidhaa kama mambumbumbu mnavyofanya. Haya sasa mkanunue hisa wakati buku moja ya ada kila mwezi ilikuwa mtihani mkubwaWanachama wa mambele c ombaomba ka akilimali,mkwasa na ww ukiwemo bila kusahau bilinganya Muro.
Huko ni kutafuta pa kujifichia kusema yanga ni kama Madrid[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mna wanachama wasiowapa faida
Nyinyi si kama Barcelona bali ni kama MISOSI FC[emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Club bora kabisa duniani Real Madrid inamilikwa na kuendeshwa na wanachama hadi leo.
Ndiyo Club iliyoshinda zaidi Champions League pamoja na back to back.
Rais wao huchaguliwa na wanachama. Lakini ni vigumu Mbumbumbu kuyajua haya. Barcelona ina mfumo huo huo.
Msije kulialia tu hapa maana TRA wakigonga hodi lazima muhindi atoke nduki!
mda utasemaNyinyi sibonike na sodio sawa zile zinendeshwa na wanachama ila
Nitajie klabu kubwa ya afrika inayoendeshwa na wanachama.Ninyi si mpo afrika kwan mpo Spain au Germany
Nyinyi tunaona mnalialia kila siku hafu bado cjui mnatetea nn
Uwanja wenu mnafuga kambale
Halafu mnasema cjui klabu za wanachama ulaya ndo zenyewe mancity je? Paris anayepiga hako ka Bayern mnakokatetea kama mbwa mwizi unafikir yupo kwenye mfumo ka wenu?
Msijifariji mshaachwa
Poleni sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sent using my xm udongo using jf mobile app
Kwa mfano kipi kinafuatwa toka Simba?
Mkikosa ubingwa msimu huu na ujao, mfumo huo utasambaratika mchana kweupe.
1. SIMBA SC (Tanzania).
2. Arsenal FC (England)
3. Man Utd (England)
4. AC Milan (Italy)
5. Barcelona (Spain)
6. Bayern Munich (Germany)
Club zinazoendeshwa kwa mfumo wa wanachama ni;
1. Yanga SC(Dar Tz)
2. Kiluvya Utd (Pwani Tz)
3. Kauzu FC(Dar Tz)
4. Mlalakua (Dar Tz)
5. Mbao FC(Mwanza Tz)
6. Misosi FC(Dar Tz)
7. Majimaji FC(Songea Tz)
8. Coastal Union (Tanga Tz)
9. Lipuli FC (Iringa Tz)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]vibaya mno.bahati mbaya ndio washa uza timu.
Okei, vipi kuhusu Yanga??Founded in 1899 by a group of Swiss, English and Catalan footballers led byJoan Gamper, the club has become a symbol of Catalan culture and Catalanism, hence the motto "Més que un club" (English: "More than a club"). Unlike many other football clubs, the supporters own and operate Barcelona.
Mkuu ni shimbwaUmesahau kuwa timu zote ulizotaja kwenye hilo kundi la Simba ni za mpira wa miguu lakini sio za mbumbumbu kama ilivyo Simbwa.
Man Utd ni timu ya Familia ya kina Glazer1. SIMBA SC (Tanzania).
2. Arsenal FC (England)
3. Man Utd (England)
4. AC Milan (Italy)
5. Barcelona (Spain)
6. Bayern Munich (Germany)
Club zinazoendeshwa kwa mfumo wa wanachama ni;
1. Yanga SC(Dar Tz)
2. Kiluvya Utd (Pwani Tz)
3. Kauzu FC(Dar Tz)
4. Mlalakua (Dar Tz)
5. Mbao FC(Mwanza Tz)
6. Misosi FC(Dar Tz)
7. Majimaji FC(Songea Tz)
8. Coastal Union (Tanga Tz)
9. Lipuli FC (Iringa Tz)