Bwana Trump kama alivunja sheria akawadeport wazazi wa watoto na watoto akawaweka chini ya uagalizi SS,nnpaka mahakama ilivyoingilia kati, kila kitu kwakwe kinawezekanaHujui hata huu msaada upo under LLA
CNN fake aliwahi tamka trump.Wamarekani wengi now wameelewa Sera za Trump, Sera zake zilikuwa nzuri kwa American sema CNN, walimuandama sana
Tupe Somo boss!Nawewe print uone utafika wapi, kwanini Russia au China wasiprint wakaizidi Marekani au hawataki. Kumbe nabishana mtu asiyejua hata basics za uchumi.
Germany ilivyoprint hela zake au Zimbabwe ilivyoprint sana noti zake walifikia wapi?
Kipindi cha Bush bdo Marekani ilikuwa na nguvu kiuchumi na Hali haikuwa mbaya kma saivi Ila kwa sasa nchi inapigana vita mbili ngumu vita ya kiuchumi na China bado hii vita ya Ukrein ambayo haitakuwa na maslai yoyote Kwa taifa lao mbeleni Marekani inaangula polepol kama tawala nyingi za nyuma zilivyoanguka siyo Leo Ila kufika 2035 hatujui nn kitatokea
Jamaa hajui Bush aliharibu uchumi. Katika ratings za marais wa Marekani huyo Bush Jr na baba yake wote wako mbali mwishoni uko. Kuanzia miaka ya 1970s mwishoni mpaka sasa ukiuliza Wamarekani marais wao wanaowakubali ni kina Ronald Reagan, Bill Clinton, Obama. Hata Trump anakubalika kuliko BushWakati wa Bush US ilitumia dollar Trillion 8 kwa vita vya Afghanistan na Iraq, dollar million 300 kila.siku huko Afghanistan kwa miaka 20. Hizo dollar bilioni 40 za Biden anazozitoa kidogo kidogo ni tone tu katika bahari ukilinganisha na Bush. Bush pia ndiye aliyeondoka akiacha mgogoro mkubwa wa uchumi wa 2008 ambao ulikuja kutatuliwa na Obama.
Maelezo ya kawaida ni hivi. Fedha ina sifa kuu ya kuwa ngumu kupatikana (scarcity), ukichapisha noti nyingi zinazagaa mtaani mwisho wa siku mwenye elfu kumi kumi 100 tiyari anajiona ana milioni moja hivyo hata asipofanya kazi anaweza kula mwezi mzima. Hapo hapo wauzaji wanaona hela zipo wanapandisha bei wakijua watauza, huyo mwenye milioni aliyopata kirahisi ananunua ovyo kwa kuwa anayo hela.Tupe Somo boss!
Uko Manungu ila unahoji rais wa US alivyopatikana! Waafrika ingekuwa tunahoji vile mambo yetu yanavyoendelea ungekuwa tuko mbali zaidi. US ni kama alishamalizana na mambo yote ya msingi kwenye dunia hii, sasa wanawekeza kwenye sayari nyingine.Takwimu za kila siku zinaonyesha kua idadi kubwa ya Wamarekani hawamuelewi Biden na hawaelewi nchi inakoekea.
Ndani ya mwaka mmoja umaarufu wa Biden umekua ukishuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kutokana na kwamba wamarekani hawaelewi Biden anachokifanya Ikulu.
Nashindwa kuelewa huyu mzee alishindaje ule uchaguzi?
Tuliwaambia Biden hakushinda uchaguzi amesaidiwa kupita na morons and stooges wa Shetani a.k.a NWO na hivyo Trump kaporwa ushindi,hawakutuelewa.Ngoja wapate joto ya jiwe na bado.Takwimu za kila siku zinaonyesha kua idadi kubwa ya Wamarekani hawamuelewi Biden na hawaelewi nchi inakoekea.
Ndani ya mwaka mmoja umaarufu wa Biden umekua ukishuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kutokana na kwamba wamarekani hawaelewi Biden anachokifanya Ikulu.
Nashindwa kuelewa huyu mzee alishindaje ule uchaguzi?
Shukrani!!!Maelezo ya kawaida ni hivi. Fedha ina sifa kuu ya kuwa ngumu kupatikana (scarcity), ukichapisha noti nyingi zinazagaa mtaani mwisho wa siku mwenye elfu kumi kumi 100 tiyari anajiona ana milioni moja hivyo hata asipofanya kazi anaweza kula mwezi mzima. Hapo hapo wauzaji wanaona hela zipo wanapandisha bei wakijua watauza, huyo mwenye milioni aliyopata kirahisi ananunua ovyo kwa kuwa anayo hela.
Mwishowe uzalishaji unapungua na bei zinapanda (inflation). Gharama za maisha zinapanda na thamani ya fedha inashuka badala utumie 2,000 kununua mkate unatumia zaidi.
Maelezo mengine. Kila nchi inatengeneza hela itumie ndani, sio nje. Ukitoa hela zako zikatumike nje unakuwa na options mbili. Ya kwanza uchapishe hela nyingi zaidi kufidia zilizopo nje ya nchi, ya pili uchukue hizo hela zilizo nje urudishe ndani.
Option ya kwanza ni sawa na ya juu ya kufyatua makaratasi mengi, ni ujinga.
Option ya pili ndicho Marekani ufanya, uchukua hela zake zilizo nje na kuzirudisha. Kuchukua hizo hela hawawaambii tuleteeni hela zetu bali wanalazimika kuzalisha wauze nje ili mnunue kwa hela zao. Hili nchi ifanye hivi ni LAZIMA iwe na uzalishaji mkubwa, uchumi mkubwa, teknolojia na vitu vingi. China na Japan huwa zinafanya devaluation ya hela zao kukwepa kulazimika kuzirudisha zikitoka kwenye mzunguko ndani ya nchi. Ndio maana Japan ile Yen yao inalingana thamani na shilingi ya Kenya, sio kwamba hawawezi kuzidi ila ikijaribu kukua Benki Kuu yao inafanya strategies inarudi kwenye level fulani. Wakifanya hivyo wanaondoa utegemezi wa watu nje ya nchi ndio pale tunalazimika kutumia sanasana USD, Euro au Pound.
Marekani inalazimika kuwa na jeshi kubwa na ulinzi imara, kufuata sheria na kuwa na mambo yaliyonyooka ili nchi ziiamini na kutunza fedha kwa USD kama reserve. Faida yake ni kwamba Marekani inaweza kukopa muda wowote ule kwa haraka na gharama nafuu kwa kuwa karibia nchi zote duniani zimetunza hela yao ya akiba kwa dola za Kimarekani. Na mifumo ya fedha wao ndio hasa wanalinda na kusimamia kwa gharama kubwa.
Anayesema wanafyatua tu hela naye afyatue aone. Kwamba nchi zote duniani ni wapumbavu kuwa na foreign reserve kwenye USD, yani hawaamini usalama wao wenyewe kuliko wanavyoamini usalama wa Marekani. Alafu mtu anakuja anasema eti itakuwa third world country
Katiba yao inasemaje kwa hilo inaruhusu kweli ama !!!??Obama atarejea tena kama president
HeheeeeHakuna rais goigoi katika historia ya Marekani kama huyu Biden, eti wakati Putin anataka kuivamia kijeshi Ukraine akawaondoa wale wanajeshi 2,000 wa Marekani waliokuwa nchini Ukraine. Bure kabisa.
Putin hupenda kufanya upumbavu wake chama cha Democratic kikiwa madarakani lakini hawezi kuthubutu wakiwemo Republicans.
Miezi kadhaa nyuma nilisikia mbunge moja wa Russia akidai kwamba ni wakati sasa kwa Russia kudai Marekani iwarejeshee Alaska hata ikibidi kwa nguvu.
Huyu Biden sio mtu serious hata akiongea anaonekana kuongea kimzaha mzaha tu hafai kabisa kuwa rais wa nchi ya Marekani hata yule makamu wake anamzidi. Bure kabisa.
Sasa kwanini US vitu bei juu nauliza tu nasehem nyengine huko kwenye EURO POUND nk vitu bei ghali sanaaaaMaelezo ya kawaida ni hivi. Fedha ina sifa kuu ya kuwa ngumu kupatikana (scarcity), ukichapisha noti nyingi zinazagaa mtaani mwisho wa siku mwenye elfu kumi kumi 100 tiyari anajiona ana milioni moja hivyo hata asipofanya kazi anaweza kula mwezi mzima. Hapo hapo wauzaji wanaona hela zipo wanapandisha bei wakijua watauza, huyo mwenye milioni aliyopata kirahisi ananunua ovyo kwa kuwa anayo hela.
Mwishowe uzalishaji unapungua na bei zinapanda (inflation). Gharama za maisha zinapanda na thamani ya fedha inashuka badala utumie 2,000 kununua mkate unatumia zaidi.
Maelezo mengine. Kila nchi inatengeneza hela itumie ndani, sio nje. Ukitoa hela zako zikatumike nje unakuwa na options mbili. Ya kwanza uchapishe hela nyingi zaidi kufidia zilizopo nje ya nchi, ya pili uchukue hizo hela zilizo nje urudishe ndani.
Option ya kwanza ni sawa na ya juu ya kufyatua makaratasi mengi, ni ujinga.
Option ya pili ndicho Marekani ufanya, uchukua hela zake zilizo nje na kuzirudisha. Kuchukua hizo hela hawawaambii tuleteeni hela zetu bali wanalazimika kuzalisha wauze nje ili mnunue kwa hela zao. Hili nchi ifanye hivi ni LAZIMA iwe na uzalishaji mkubwa, uchumi mkubwa, teknolojia na vitu vingi. China na Japan huwa zinafanya devaluation ya hela zao kukwepa kulazimika kuzirudisha zikitoka kwenye mzunguko ndani ya nchi. Ndio maana Japan ile Yen yao inalingana thamani na shilingi ya Kenya, sio kwamba hawawezi kuzidi ila ikijaribu kukua Benki Kuu yao inafanya strategies inarudi kwenye level fulani. Wakifanya hivyo wanaondoa utegemezi wa watu nje ya nchi ndio pale tunalazimika kutumia sanasana USD, Euro au Pound.
Marekani inalazimika kuwa na jeshi kubwa na ulinzi imara, kufuata sheria na kuwa na mambo yaliyonyooka ili nchi ziiamini na kutunza fedha kwa USD kama reserve. Faida yake ni kwamba Marekani inaweza kukopa muda wowote ule kwa haraka na gharama nafuu kwa kuwa karibia nchi zote duniani zimetunza hela yao ya akiba kwa dola za Kimarekani. Na mifumo ya fedha wao ndio hasa wanalinda na kusimamia kwa gharama kubwa.
Anayesema wanafyatua tu hela naye afyatue aone. Kwamba nchi zote duniani ni wapumbavu kuwa na foreign reserve kwenye USD, yani hawaamini usalama wao wenyewe kuliko wanavyoamini usalama wa Marekani. Alafu mtu anakuja anasema eti itakuwa third world country
Namkubali sana bwana TrumpAngeshasema, Ukrainians should fight their own battle. If they need weapons, we will supply them at a discount. Pure business hakuna msaada
Na hiyo ndo spirit nzuri sana, kila mtu apambane na hali yakeSema wa Democrats wanamuandama hatari, jamaa yeye Ni America first basi