CNN: 73% ya Wamarekani wanataka Biden asigombee 2024, hawaelewi nchi inakoelekea chini ya Biden

CNN: 73% ya Wamarekani wanataka Biden asigombee 2024, hawaelewi nchi inakoelekea chini ya Biden

Takwimu za kila siku zinaonyesha kua idadi kubwa ya Wamarekani hawajielewi Biden na hawaelewi nchi inakoekea.

Ndani ya mwaka mmoja umaarufu wa Biden umekua ukishuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kutokana na kwamba wamarekani hawaelewi Biden anachokifanya Ikulu.

Nashindwa kuelewa huyu mzee alishindaje ule uchaguzi?

Kazi na umri
 
Naona hata Trump watamkataa akipitishwa kugombea! Hawana imani na wazee tena.
Vikwazo kwa Russia vimefanya maisha kupanda Marekani na raia hawaoni anafanya nini zaidi ya kushughulika na vita vya Ukraine.
Kwenye polls anaongoza hatari, lakin US citizens wanasema chini ya Trump maisha yalikuwa cheap Sana, kazi nje nje, jamaa alijenga uchumi Sana Covid-19 ndo ilimuhalibia
 
Biden hawezi rudia kugombea tena muhura ujao. Alipogombea muhura huu ndio amekuwa rais mwenye umri mkubwa zaidi kihistoria alafu bado tena wamuongezee. Mambo ya vita achana nayo Marekani imepigana vita vikali na marais hawakubadilika, imeingia economic depression, imekumbana na changamoto kibao. Mbona mdororo wa uchumi wa 2008 ulimpa Bush Jr. ratings mbaya ila alimaliza
 
Biden hawezi rudia kugombea tena muhura ujao. Alipogombea muhura huu ndio amekuwa rais mwenye umri mkubwa zaidi kihistoria alafu bado tena wamuongezee. Mambo ya vita achana nayo Marekani imepigana vita vikali na marais hawakubadilika, imeingia economic depression, imekumbana na changamoto kibao. Mbona mdororo wa uchumi wa 2008 ulimpa Bush Jr. ratings mbaya ila alimaliza
Kipindi cha Bush bdo Marekani ilikuwa na nguvu kiuchumi na Hali haikuwa mbaya kma saivi Ila kwa sasa nchi inapigana vita mbili ngumu vita ya kiuchumi na China bado hii vita ya Ukrein ambayo haitakuwa na maslai yoyote Kwa taifa lao mbeleni Marekani inaangula polepol kama tawala nyingi za nyuma zilivyoanguka siyo Leo Ila kufika 2035 hatujui nn kitatokea
 
Inaelekea hata akitaka kwenda msalani mpaka aandikiwe,huyu mzee akapumzike tu!!!
IMG_7490.jpg
 
Kipindi cha Bush bdo Marekani ilikuwa na nguvu kiuchumi na Hali haikuwa mbaya kma saivi Ila kwa sasa nchi inapigana vita mbili ngumu vita ya kiuchumi na China bado hii vita ya Ukrein ambayo haitakuwa na maslai yoyote Kwa taifa lao mbeleni Marekani inaangula polepol kama tawala nyingi za nyuma zilivyoanguka siyo Leo Ila kufika 2035 hatujui nn kitatokea
Vita ya kiuchumi na China Marekani haijashindwa popote. Taja kampuni ya China iliyowekewa vikwazo na ikaendelea kuteka soko duniani. ZTE iko wapi hadi leo watu hawaijui, Huawei iko wapi hadi tenda za 5G karibia zote Ulaya imepoteza na kwenye global shipment ya simu haipo hata top 7 hata kwao China haipo top 3 wakati ilikuwa ya kwanza. Kwani Marekani kashindwa nini kwenye trade war. Hali mbaya ya US kiuchumi unaipimaje.

Marekani haipo katika vita ya Ukraine. Haipo kabisa, kutoa vidola bilioni moja moja na units kadhaa za silaha usidhani vinaathiri chochote kwenye uchumi wake. Narudia kuwasisitiza ni mwaka 2020 hapo ambapo Chairman wa Federal Reserve aliidhinisha kutoa dola trilioni 2 kama stimulus ya uchumi kutokana na COVID-19. Marekani inatoa kama dola bilioni 5 kila mwaka kwa Israel miaka nenda rudi, inatoa bilioni kadhaa kwa Egypt kila mwaka, inatoa billions kwa nchi tofauti tofauti. Hiyo 2035 ni mapema sana kusema Marekani itafeli, bado ipo sana
 
Vita ya kiuchumi na China Marekani haijashindwa popote. Taja kampuni ya China iliyowekewa vikwazo na ikaendelea kuteka soko duniani. ZTE iko wapi hadi leo watu hawaijui, Huawei iko wapi hadi tenda za 5G karibia zote Ulaya imepoteza na kwenye global shipment ya simu haipo hata top 7 hata kwao China haipo top 3 wakati ilikuwa ya kwanza. Kwani Marekani kashindwa nini kwenye trade war. Hali mbaya ya US kiuchumi unaipimaje.

Marekani haipo katika vita ya Ukraine. Haipo kabisa, kutoa vidola bilioni moja moja na units kadhaa za silaha usidhani vinaathiri chochote kwenye uchumi wake. Narudia kuwasisitiza ni mwaka 2020 hapo ambapo Chairman wa Federal Reserve aliidhinisha kutoa dola trilioni 2 kama stimulus ya uchumi kutokana na COVID-19. Marekani inatoa kama dola bilioni 5 kila mwaka kwa Israel miaka nenda rudi, inatoa bilioni kadhaa kwa Egypt kila mwaka, inatoa billions kwa nchi tofauti tofauti. Hiyo 2035 ni mapema sana kusema Marekani itafeli, bado ipo sana

Zikiisha siwanaprint tu haha
 
Kila akimuwaza Putin anaanguka matukio ya kuanguka yashakua mengi,kupambana na Putin anatakiwa Rais mwenye nguvu za mwili na akili kuhimili vishindo na maamuzi ya kushtukiza ya mwamba Putin.
 
Alishind sababu mfuasi waupinde hana zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naona 2024 ni mbali sana, ingekuwa vema akiondolewa fasta madarakani ili kuinusuru Dunia dhidi ya binadamu ambaye akili zake zinaonekana ni fyatu kidogo!! Chuki zake kwa Putin zinazidi kipimo - yeye na Zelensky wako radhi Dunia yote iangamie ili wawakomeshe Warusi - watu hawajui tu,ukweli wa mambo Biden ni hatari sana kwa amani Duniani,repeat,anaweza kusababisha WW3 by miscalculation or by accident,hafai kabisa.
 
Hao hao CNN ndo walikuwa wanampasha Trump
 
Angeshasema, Ukrainians should fight their own battle. If they need weapons, we will supply them at a discount. Pure business hakuna msaada
Hujui hata huu msaada upo under LLA
 
Back
Top Bottom