CNN: Diamond ni moja kati ya Wasanii wa Africa wanaofanya vizuri

Mr eazi sio mnaija ni mghana yule sema chimbo lake la muziki lipo naija
 
CNN hawajui chochote kuhusu muziki wa African hiyo list kuna watu hawapo Jidenna, Nyovest, AKA, Sarkodie, Mafikizolo, Mr P & Rude boy
 
This daylight robbery no Davido no Gasper Nyovert no Sarkodie


Mleta uzi amenakili vibaya orodha...

1. Burna Boy
2. Wizkid
3. Davido
4. Sarkodie
5. Mr Eazi
6. Diamond Platnumz

Na wengine ndio wanafuata huko chini ila top 6 ni hawa... Orodha imeandaliwa kwa kuangalia miaka ya hivi karibuni na sasa hivi wasanii wanafanya vizuri ndani na nje ya Africa.
 
Haijalishi wengine ni kina nanii ila kama mr electricity yupo basi cnn wapo sawa kabisa.
 
Wabongo bhana Ulitaka wakae wapi kwenye list ya watu 10..kwenye kichwa chako au.... ulio wataja tu wana karibia 10
CNN hawajui chochote kuhusu muziki wa African hiyo list kuna watu hawapo Jidenna, Nyovest, AKA, Sarkodie, Mafikizolo, Mr P & Rude boy
 
Kuna boya mmoja hv nilikuwa namuelekeza anakazi ya kumshabikia mkata viuno hawezi kumjua huyo mtu ninani pale S.A
Casper nyovest ilitakiwa awe namba moja katika hiyo rank sijaona msanii wakumzidi casper
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…