simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,498
- 1,216
Na ndiko kunakomponza huko. Ataishia kuuza mziki wake Tabata akizid sana kigomaDavido?
Alikiba hapendi show off yupo namba11[emoji16][emoji23][emoji23]
HahahDavido?
Alikiba hapendi show off yupo namba11[emoji16][emoji23][emoji23]
Huyo anajulikana umakondeni tuHarmonize nae hapendi show off au vipi
mtwaraWapi kondeboy
This daylight robbery no Davido no Gasper Nyovert no Sarkodie
Acheni sifa sasa mbona Aljazeera na Fox news wanamtaja King wetu ila hajitangazi..
CNN hawajui chochote kuhusu muziki wa African hiyo list kuna watu hawapo Jidenna, Nyovest, AKA, Sarkodie, Mafikizolo, Mr P & Rude boy
Baki na ushabiki wako uwezi kuelewa usifosi tufananeWabongo bhana Ulitaka wakae wapi kwenye list ya watu 10..kwenye kichwa chako au.... ulio wataja tu wana karibia 10
Kuna boya mmoja hv nilikuwa namuelekeza anakazi ya kumshabikia mkata viuno hawezi kumjua huyo mtu ninani pale S.ACasper nyovest hayupo??
Casper nyovest ilitakiwa awe namba moja katika hiyo rank sijaona msanii wakumzidi casperKuna boya mmoja hv nilikuwa namuelekeza anakazi ya kumshabikia mkata viuno hawezi kumjua huyo mtu ninani pale S.A