Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
hhahahhahah!aibu gan hii jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna njia za asili za uzazi wa mpango ambazo zimekuwa zikitumiwa na mababu tangu enzi ambazo ni nzuri tu wala hatuwezi kuzipuuzaHii ni aibu tupende tusipende tutamtetea tu kwa vile ni rais wetu lkn tukubali rais kachemka hana break ya mdomo, kuna vingine havitakiwi kusemwa na kiongozi wa kitaifa kama yeye, kwanza ni against national health policy,
Dunia nzima inaimba uzazi wa mpango kwa nini sisi tutake kujitenga na dunia.
CNN, BBC sijui nani na mashirika makubwa yote ya utangazaji ya Ulaya na Marekani sio ya kuyatia akiliniInternational exposure ya kitu gani ? Uzazi wa mpango? Ana national exposure ya ukweli kwamba watanzania tunazaana sana ! Na hizo contraceptive methods baadhi zimeonekana kuwa na side effects nyingi kwa akina mama kiafya na hata uzazi wao. Ni heri anaesema ukweli kuliko anayejidanganya ! Na huko Marekani kwenyewe kuna maeneo ya conservatives wanazaa mpaka watoto kumi ! CNN haitangazi hayo mara nyingine.
Mtu mwenye nguvu na uwezo wa kufanya kazi na kutunza familia kwa nini asizae? Hao wachina wenyewe sasa hivi wanaachana na one child policy japo wako wengi. Sio kila sera inayotungwa na wazungu ni relevant kwetu wakati mwingine tunalazimika kuzikumbatia ili tupewe misaada! Hivyo ni lazima sana tupambane na umaskini ili kuepuka utegemezi wa mataifa ya nje kwa njia ya kuomba omba unaotulazimu kukubali kila sera na programu kwa wananchi wetu hata kama zinaenda kinyume na mila zetu.
Duh , ulimi mchungu sana huuMimi ni mwafrika lkn nasema Afrika litabaki kuwa bara la giza kwa muda mrefu ujao unless tu change mentality thinking ya viongozi wetu kwamba wao ni kama miungu watu untouchables wanapokuwa madarakani.
Tutawalaumu tu wazungu lkn wenye matatizo ni sisi ngozi nyeusi. Hebu msome Trump uniambie anamekosea wapi kuhusu viongozi wetu wa Afrika.
=========!American President - Donald Trump explains his statement against Africans:
"If after 50 years of independence you have not built the necessary infrastructure for your people, are you humans?
"If you sit on gold, diamond, oil, manganese, uranium... and your people don't have food, are you humans?
"If to stay in power, you buy weapons from strangers to kill your own citizens, are you humans?
"If your only social project is to stay in power for life, are you being human?
"If you despise and shoot your own citizens like game, who will respect them?"
"if you take all resources meant for development of your country for personal property are you humans?
" if you leave your country healthcare unattended and treat yourself abroad are you humans?
"Until your leaders think less of themselves and more about your people. You are not human but animal.
Kwanza rahisi sana kuzaana sisi waafrica ila tunajibana maksudi kwa kuiga iga tu!!! wale wenzetu ni kazi kweli km kazi zingine! kwanza ameze mavidooonge! kibao! lkn sisi tunapanda tu na wake zetu wanasema wewe panda tu!!!Haya sio mabaya kuzaa ni asili yetu tuukubali ukweli, mimi sio timu Magu lkn ni ukweli mtupu sisi ni wakuzaana tu na tunaweza kweli kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanza rahisi sana kuzaana sisi waafrica ila tunajibana maksudi kwa kuiga iga tu!!! wale wenzetu ni kazi kweli km kazi zingine! kwanza ameze mavidooonge! kibao! lkn sisi tunapanda tu na wake zetu wanasema wewe panda tu!!!
Halafu wakirudi kutoka labour wanataka tena hivohivo jamani heee! hata wakiwa wana bleed period wao wako tayari kupandwa jamani yaani sisi ndo tunawaoneaga huruma lkn wao ni panda tu!!! nawaheshimu sana wanawake wa kiafrica!!
Kwanza rahisi sana kuzaana sisi waafrica ila tunajibana maksudi kwa kuiga iga tu!!! wale wenzetu ni kazi kweli km kazi zingine! kwanza ameze mavidooonge! kibao! lkn sisi tunapanda tu na wake zetu wanasema wewe panda tu!!!
Halafu wakirudi kutoka labour wanataka tena hivohivo jamani heee! hata wakiwa wana bleed period wao wako tayari kupandwa jamani yaani sisi ndo tunawaoneaga huruma lkn wao ni panda tu!!! nawaheshimu sana wanawake wa kiafrica!!