CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

Kuna njia za asili za uzazi wa mpango ambazo zimekuwa zikitumiwa na mababu tangu enzi ambazo ni nzuri tu wala hatuwezi kuzipuuza

Hatupingi uzazi wa mpango bali tunachopinga hapa ni uzazi wa mpango kwa njia hizo wanazotaka wao hao unaowaita dunia nzima
 
CNN, BBC sijui nani na mashirika makubwa yote ya utangazaji ya Ulaya na Marekani sio ya kuyatia akilini

Wao wapo kwajili ya kukuza maovu (kuchafua) mambo ya nchi za Asia na Africa

Jambo likitokea kwao basi litapambwapambwa hapo wee au hutawasikia kabisa wakilirusha
 
Duh , ulimi mchungu sana huu
 
Kwahiyo Wachina ni Ma lazy? watoto wawili au Mmoja! Kazi Ipo
 
Tuzaeni tu angalia marekani, uengereza wapo wangap then tz wangap alafu muuanze huo ujinga wa kuzuia mimba.
 
Haya sio mabaya kuzaa ni asili yetu tuukubali ukweli, mimi sio timu Magu lkn ni ukweli mtupu sisi ni wakuzaana tu na tunaweza kweli kweli
Kwanza rahisi sana kuzaana sisi waafrica ila tunajibana maksudi kwa kuiga iga tu!!! wale wenzetu ni kazi kweli km kazi zingine! kwanza ameze mavidooonge! kibao! lkn sisi tunapanda tu na wake zetu wanasema wewe panda tu!!!

Halafu wakirudi kutoka labour wanataka tena hivohivo jamani heee! hata wakiwa wana bleed period wao wako tayari kupandwa jamani yaani sisi ndo tunawaoneaga huruma lkn wao ni panda tu!!! nawaheshimu sana wanawake wa kiafrica!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…