CNN Video: Bashar Al Asad aliyekuwa Rais wa Syria ni kielelezo cha watawala walivyo na tamaa na mafisadi. Angalia utajiri wa magari aliyojilimbikizia

CNN Video: Bashar Al Asad aliyekuwa Rais wa Syria ni kielelezo cha watawala walivyo na tamaa na mafisadi. Angalia utajiri wa magari aliyojilimbikizia

Ukiona media za kimarwkani zinaambatana na waasi waliopindua utawala jua ni damage control, jana media imepewa tour kwenyw ikulu ya huko syria
 


Ali Mamlouk, Mkuu wa Huduma ya Siri ya Syria na Nshauri wa Usalama (Head of Syria’s Secret Service and Security Advisor) wa Dikteta Assad akitoroka kwa Boti akiwa na baadhi ya ndugu zake😀😀😀

Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
 
Watu weusi na waarabu ndio waleta matatizo hapa duniani hivi vichwa viwili visingekuwepo kwenye uso wa dunia basi DUNIA INGEKUWA MAHALA SALAMA SANA.
Bisha kwa hoja sio mihemko yako
 
Watu weusi na waarabu ndio waleta matatizo hapa duniani hivi vichwa viwili visingekuwepo kwenye uso wa dunia basi DUNIA INGEKUWA MAHALA SALAMA SANA.
Bisha kwa hoja sio mihemko yako
Absolutely
 
Kwa Syria naona hawatakuwa kama Arab Spring wakati ule bali wataijenga nchi yao kama Israel itawaacha
Ila tatizo linakuja Kuna vikundi kama vitatu baina yao na hilo ndio mtihani
Tuwaombee wawe na maelewano tu
Israel huwa hana tatizo na majirani zake kama hawatomshambulia. Rejea historia, hasa uvamizi wa Oct 7
 
Si kwa ubaya lkn hutoona hao CNN na TAKATAKA za aina Yao kama BBC wakionesha Ushenzi wa viongozi wa Ulaya na mali walizomiliki kinyume na Sheria, mfano ufalme wa uingereza kumiliki mali zilizoporwa Ktk tawala zingine, umiliki wa utajiri ambao hauna chanzo halali.

Anyway hao wote ni washenzi
 
Israel huwa hana tatizo na majirani zake kama hawatomshambulia. Rejea historia, hasa uvamizi wa Oct 7
Lakini wameisha chukua maeneo kadhaa Golan Heights
Wanasema ni kwa ajili ya usalama ila ni ubabe tu hiyo milima matatizo yake hayataisha
Hizo sehemu ukipita ni misukosuko tu miaka na miaka huwa hapatulii yaani mashariki ya kati
 
Si kwa ubaya lkn hutoona hao CNN na TAKATAKA za aina Yao kama BBC wakionesha Ushenzi wa viongozi wa Ulaya na mali walizomiliki kinyume na Sheria, mfano ufalme wa uingereza kumiliki mali zilizoporwa Ktk tawala zingine, umiliki wa utajiri ambao hauna chanzo halali.

Anyway hao wote ni washenzi
Screenshot_20241211_065819_Instagram~2.png
 
Sisi mama yetu ana magari ya kifahari kayaficha Saudi Arabia na Zanzibar ni mengi kuliko hata hayo ya bashall assad.kwa asadi kuwa na magari hayo ni kawaida maana Nchi Yao ni tajiri lakini imeharibiwa na makundi ya kigaidi na Kwa Sasa Nchi inaharibika zaidi.
nchi imeharibiwa na Asad , Boris alijiuzuru ila Asad aliona asababishe vifo vya wasyria ili abakie madarakan
 
Kwa sasa yuko zake Moscow na familia yake. Alianza kununua majumba na kuhifadhi fedha zake huko tangu kipindi cha vita.
Mke wake ana uraia wa Uingereza amezaliwa na kukulia huko.
 
Pesa
View attachment 3175953
Hapa duniani jamani tunapita tu....

Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..?

Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85% wakiwa hawana hata uhakika wa kuweka chochote mezani wale..?

Sasa hayupo madarakani tena na obvious watamuua kwa kumnyonga.....

Na yote haya aliyoyachuma kwa wizi na kudhulimu uhai wa wapinzani wake kama magari, fedha, majumba na mali zingine hatazikwa nazo kaburini lakini zinarudi zilikotoka...

Mwingulu Nchemba na Samia Suluhu Hassan na wenzenu jifunzeni kwa hili na tengenezeni mambo yenu kabla hayajaja kwenu na watoto wenu...
Pesa za drugs hizo pia... zimempa utajiri
 
View attachment 3175953
Hapa duniani jamani tunapita tu....

Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..?

Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85% wakiwa hawana hata uhakika wa kuweka chochote mezani wale..?

Sasa hayupo madarakani tena na obvious watamuua kwa kumnyonga.....

Na yote haya aliyoyachuma kwa wizi na kudhulimu uhai wa wapinzani wake kama magari, fedha, majumba na mali zingine hatazikwa nazo kaburini lakini zinarudi zilikotoka...

Mwingulu Nchemba na Samia Suluhu Hassan na wenzenu jifunzeni kwa hili na tengenezeni mambo yenu kabla hayajaja kwenu na watoto wenu...
Hivi mnafahamu Mshahara wa Rais wa nchi, una kidhi kununua garage za kifahari 5 kila mwezi?
Na chenji ikabaki?
 
Hivi mnafahamu Mshahara wa Rais wa nchi, una kidhi kununua garage za kifahari 5 kila mwezi?
Na chenji ikabaki?
Sijui ni kwanini unaniuliza swali hili mimi...

Maana unachokistaajabia wewe ndiyo hichohicho na mimi kinanishangaza...

Kwamba, Rais yeyote duniani akiwemo huyu bibi yetu Samia Suluhu Hassan wa Tanganyika kwa mshahara wake wa kiwango chochote cha haki, hawezi kuwa trilionea wa kiwango cha Elon Musk iwapo si mwizi na fisadi.

Kwa hiyo, no doubt kuwa, huyu alikuwa mwizi na fisadi tu kama walivyo wengi kwa kutumia vibaya madaraka yake kujinufaisha binafsi yeye na rafiki zake...
 
Watz kwa kuchunguza ya wengine na kuchambua mpo makini kweli.
kuna andiko linasema toa kwanza boliti lililo ndani ya jicho lako ndipo utakapoona vyema kutoa kibanzi kwenye jicho mwenzako.

Hapa kwenu bandari imeuzwa.mbuga za wanyama na ufisadi njenje wa kuona kwa macho lakin ya huko umeyakodolea jicho haswa ni aibu kubwa sana.Wamasai walitimuliwa bila kugangamala wenyewe saivi wangekuwa msemera huko na sisi tuna watazama tu.OVYOOOO
 

Attachments

  • IMG_0375.jpeg
    IMG_0375.jpeg
    96.5 KB · Views: 3
Halafu ni ya maonesho au..!?
Najiuliza, akiwa madarakani ni wakati gani alikuwa akiyatembelea hayo magari ilihali Kiongozi wa nchi anakuwa na msafara wa magari ya serikali..?
 
Hahaha utashangazwa Siku CCM wakiondoshwa madarakani, utamuaonea huruma Asad nakusema alikuwa cha mtoto. lakini iko siku CCM itaondoka na Nchi itarudi kwa wenye nchi. Tanganyika ni lazima.
 
Back
Top Bottom