Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Msinihusishe kabisaaa ktk huo upuuzi wenu wa sijui team nini....sina kabisa muda huo wala hakuna ninayemfagilia kati ya Kiba na Diamond. In short,sina kawaida ya kushinda mitandaoni kusifia mafanikio ya wanaume wenzangu....you called the wrong number.... Sorry man!
Dangote hakufanya interview na CNN, labda CCN.
Anaitwa Nassib Abdul.Dangote hayupo tz.
Hii mijitu kwa uongo sijui itaacha lini, CNN hawajafunga safar kuja kumuhoj diamond, hiyo imetokea na wasanii waliohojiwa ni pamoja na Lady jay dee, Black rhino, Nick wa 2 na huy Mondy wenu, sasa nyie hapo mmeona dili sana.
badili kichwa andika --- HIFADHI YA TAIFA YAHOJIWA NA CNN
Msinihusishe kabisaaa ktk huo upuuzi wenu wa sijui team nini....sina kabisa muda huo wala hakuna ninayemfagilia kati ya Kiba na Diamond. In short,sina kawaida ya kushinda mitandaoni kusifia mafanikio ya wanaume wenzangu....you called the wrong number.... Sorry man!
Sasa umekujaje hapa. Pimbi nin?
Ki ukweli huyu jamaa keshatunyoosha ila tunaanzaje kumsifia????????
Hii ni simu yangu hakuna wa kunipangia niingie mtandao gani wa kijamii,napita kote huko,nikiona topic nachangia,but am not a groupie like you guys!so don't associate me with any team nonsense!