Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Msinihusishe kabisaaa ktk huo upuuzi wenu wa sijui team nini....sina kabisa muda huo wala hakuna ninayemfagilia kati ya Kiba na Diamond. In short,sina kawaida ya kushinda mitandaoni kusifia mafanikio ya wanaume wenzangu....you called the wrong number.... Sorry man!
Uwepo wako tu kwenye huu uzi ni wazi kabisa kuwa umevutiwa na huu upuuzi, mchango wako umenionesha waaazi kua upuuzi unaupenda ndio maana nikajua wewe ni mwenzetu kati ya wapenda upuuzi, kwenye huu upuuzi hujahusishwa na mtu umejihusisha mwenyeweeee.