Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KashawabebaMorrison anaanza!! Shida hii
Mungu ibariki Coastal union ishinde huu mchezo kelele zipungue mitaani
Sisi coast droo inatosha
Kila laheri coast Union
Yannick kayataka mwenyewe kwenda kutafuta Kadi iliyomsaidia refa kubalance Kadi. Vinginevyo Kadi nyekundu ilikuwa inamhusu Mtenje.Bangala kachezewa Rafu mbaya sana
Mtenje Albano alistahili Red card kapewa ya njano pamoja na Yanick Bangala
Dk ya 11
Coastal 0 Yanga 1
Na sio kwamba hawajui. Wanajua ila wanakaza mafuvu tuHakuna timu ya kuifunga Yanga hapa shithole country.Mtaleta kila aina ya mbwembwe na Dua ovu lakini wapi!
Yaani refa ana balance kadi??? Duuuh hiyo Kali aiseeYannick kayataka mwenyewe kwenda kutafuta Kadi iliyomsaidia refa kubalance Kadi. Vinginevyo Kadi nyekundu ilikuwa inamhusu Mtenje.
Yanga imekuwa inakupa hela sana huko betting mkuu ila kutwa unawasagia kunguni humu jamviniYanga ikishinda naingiza 188,000 faida
Leo kichaa Morisson kaona mweziNi weekend tena. NBC Premier League inaendelea ambapo Wagosi wa Kaya, Coastal Union watashuka dimbani kuwaalika Mabingwa watetezi wa taji, Yanga katika dimba la Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha.
Mara ya mwisho timu hizo zilikutana katika dimba hilo mwezi wa saba mwaka huu katika mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation ambapo Yanga walibuka na ushindi.
Je leo Juma Mgunda ( Guardiola Mnene) ataweza kuwadhibiti tena Yanga? Tukutane hapa saa 10:00 jioni.
Utabiri wangu: 1-1
=======
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mwanzo wa mchezo, Coastal union VS Yanga
01' Aziz Ki anaachia mkwaju wa kwanzo uliolenga goli, mlinda mlango Mahmud anasimama imara. Coastal union 0-0 Yanga
04' ⚽ Benard Morisson anaandika bao la kwanza kuitanguliza Yanga, akiunganisha pasi maridadi kutoka kwa Jesus Moloko. Coastal Union 0-1 Yanga
07' Yanga wanapata nafasi nyingine lakini Moloko anapaisha juuuuuuu. Mpira uliingizwa kwenye box na Benard Morisson.
10' Yannick Bangala yuko chini baada ya kusiginwa na Juma, nahodha wa Coastal Union. Bangala anamsukuma Juma.
11' 🟡Wote wawili wanapewa kadi ya njano
14' Coastal wanaachia mkwaju wa kwanza uliolenga goli kwa shuti la mkwaju wa adhabu ndogo kutoka kwa Betran, Mshery anakamata mpira barabara.
Tate Mkuu Shadeeya zipompa ukikaidi utapigwa2 Chukwu emeka Frank WanjiruYanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale 👉👉👉👉
Loading.....Yanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
Sheria gani hiyo inasema refa abalance kadi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yannick kayataka mwenyewe kwenda kutafuta Kadi iliyomsaidia refa kubalance Kadi. Vinginevyo Kadi nyekundu ilikuwa inamhusu Mtenje.
Sisi hatutaki kuongea na Mbwa, Coastal Union leo watachakazwaTate Mkuu Shadeeya zipompa ukikaidi utapigwa2 Chukwu emeka Frank Wanjiru
Numbisa pitieni hapa..Kuna ujumbe wenu