Anazingua mkuu. Anakosaga magoli ya wazi sanaKibu Abaki
Anatakiwa Apate Maelekezo mazuri Akitulia MzuriAnazingua mkuu. Anakosaga magoli ya wazi sana
Ila Mhilu ndio garasa kabisa[emoji16] hivi hata kwenye mechi za kimataifa anaendaga kweli?Anatakiwa Apate Maelekezo mazuri Akitulia Mzuri
Au uwanja unachangia mkuu?Mechi ya hovyo
Timu zote ni kama wamekubaliana kuanua matanga?Timu gani sasa
Yah mkuuAu uwanja unachangia mkuu?
Kama ni uwanja Sawa.Au uwanja unachangia mkuu?
Najiuliza mbali ya uwanja, Wachezaji wa Simba ni fatique au nini?Sasa watarudi kudefend