OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Mkuu shida ni kipa hayo magoli angekua matampi asingefungwahuyo kocha anatudanganya hapa wazi wazi eti shida golikipa, shida ni wao kupoteza mipira hovyo hovyo kwenye nusu yao
Matampi ndio gokikipa bora wa NBC msimu uliopita
Hayo magoli angekuwa yule kipa wa red arrow asingefungwa