Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe umecheza mpira gani ulikuwa mvunja kuni tu hata himid mao anaafadhalimpira kweli umeisha yaani ali kiba wa kucheza ligi kuu? enzi zangu niko dimbani hata kushika viatu vyangu asingepata nafasi
Kiba 2006 alicheza copa coca colanafikiri atakuwa mhamasishaji maana akiingia uwanjani atatoa maboko sana
We kweli ni Nteze John....kama ni kweli basi uloyaandika sina shaka nayo.mpira kweli umeisha yaani ali kiba wa kucheza ligi kuu? enzi zangu niko dimbani hata kushika viatu vyangu asingepata nafasi
Kila kitu na wakati wake,wewe si unahubiri injili huko Marekani,kuna watu pia watasema hawezi kuja kusali kanisani kwako,bora akae tu nyumbani!mpira kweli umeisha yaani ali kiba wa kucheza ligi kuu? enzi zangu niko dimbani hata kushika viatu vyangu asingepata nafasi
Jamaa mziki umemshnda soka ndo ataliweza?
Ukisikia wazaramo, ndio hawa sasaHili povu si la kitoto ila anyway mbona wiz khalifa anajiandaaa kujiunga na MMA? Au na yeye mziki umemshinda?
(Ni swali tu mkuu staki povu)
Are you Nteze for real?mpira kweli umeisha yaani ali kiba wa kucheza ligi kuu? enzi zangu niko dimbani hata kushika viatu vyangu asingepata nafasi
yaap mi ni nteze real wa kamsamba mbozi songweAre you Nteze for real?
Karne ya ngap mkuuusijili wa karne
Uwezo anao.Kutafuta kiki mpaka goli.