Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Utopolo mmeumbuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Technical bench haikaliwi na makocha peke yake, kuna hadi physiotherapist wanakaaKocha asiyekuwa na mkataba, anakaa kwenye benchi la ufundi kwa kigezo kipi? Kumbe ligi yetu inaeuhusu ma day worker (madeiwaka)
Juma mosi na nyie mna mechi, mnaacha kudili na mambo yenu mjue jinsi gani mnaweza pata hata sare nyie mnakuja kujadili ishu ya SimbaKocha wa timu za Coastal Union SC na Simba SC ameondoka leo nchini na Klabu ya Simba kuelekea Malawi kuiongoza timu ya Simba kwenye mechi yake ya awali kwenye mashindano ya CAF!
Kocha atakaporudi ataendelea kuziongoza timu zake za Coastal Union na Simba kwenye mashindano la ligi ya NBC na Mashindano ya CAF!
View attachment 2350368
Hilo nililisema hapa lakini wapambe wakaja kunibisha kihisiaWangekaa kimya uzushi wenu ungekuwa na nguvu. Sasa hiyo comeback walioifanya Coastal hamjaipenda maana imeonesha hoja zenu hazikuwa sahihi.
Kueleza kwao kuwa hawana mkataba naye ni jambo baya ukilinganisha na wao kukaa kimya?
Kocha asiye na mkataba anaruhusiwa kukaa benchi ya ufundi kuongoza timu?Wangekaa kimya uzushi wenu ungekuwa na nguvu. Sasa hiyo comeback walioifanya Coastal hamjaipenda maana imeonesha hoja zenu hazikuwa sahihi.
Kueleza kwao kuwa hawana mkataba naye ni jambo baya ukilinganisha na wao kukaa kimya?
Movies yao Coast, TFF na Simba wamechemka kwenye script, continuity hamna,ila tuliosoma CUBA tumesha waelewa.Kocha asiye na mkataba anaruhusiwa kukaa benchi ya ufundi kuongoza timu?
2) kocha hana mkataba na coastal union sasa Simba kwenye barua yao wanawashukuru vipi hao Coastal union?
Point sio kukaa bali je shirikisho letu la soka linaruhusu timu za ligi kuu kuchukua mtu yeyote yule akae kwenye benchi la ufundi?Technical bench haikaliwi na makocha peke yake, kuna hadi physiotherapist wanakaa
Karia na Kidau hawahusiki na haya, acha kutunga UongoNaona Karia na Kidau wanajaribu kuficha aibu. Baada ya mtoto wao pendwa kuwavua nguo!
Kwani mechi yenu ya fainali na Coastal hakukuwa na watu waliokaa benchi la Coastal?Point sio kukaa bali je shirikisho letu la soka linaruhusu timu za ligi kuu kuchukua mtu yeyote yule akae kwenye benchi la ufundi?
Mgunda alikuwa mkurugenzi wa ufundi wakati coast kocha akiwa mzungu ,baada ya mzungu kuondoka kaichukua team ,Sasa walikuwa kwenye mazungumzo,kama ulishawahi kufanya kazi za mikataba ni kawaida ,unaweza kufanya hata miezi mitatu kabla ya kusaini mkataba mpya kwenye nafasi nyingineHakuna anayelazimisha ubaya ila bora wangekaa kimya tu maana ndio wamechafua kabisa hali ya hewa. Yaani kocha hana mkataba halafu anaiongoza timu, kituko hiki
Ukute wewe ni Cliford Mario Ndimbo.Karia na Kidau hawahusiki na haya, acha kutunga Uong
Aibu kubwa mno. Kocha wa timu inayoshiriki ligi kuu, kuazimwa kwwnda kuwa kocha wa timu nyingine inayocheza Ligi kuu. Acha kuhamisha magoli, kasome taarifa ya CEO, amewashukuru viongozi wa Coastal kwa kukubali kuwaazimaMgunda alikuwa mkurugenzi wa ufundi wakati coast kocha akiwa mzungu ,baada ya mzungu kuondoka kaichukua team ,Sasa walikuwa kwenye mazungumzo,kama ulishawahi kufanya kazi za mikataba ni kawaida ,unaweza kufanya hata miezi mitatu kabla ya kusaini mkataba mpya kwenye nafasi nyingine
Ukute we ni bwana Karia na tumbo lako kama PutoAngalia huyu
Ukute we ni bwana Karia na tumbo lako kama Puto
Unaumia moyo au rohoKwa hiyo makocha wengi wa NBC premier league ni madeiwaka, kwa hiyo TFF hausiki na makocha manake kama hivyo hata mtu yoyote anweza kupiga deiwaka kwenye timu zetu za NBC.Daah huu mpira wetu kivyetuvyetu, ila tuliosoma CUBA tushaelewa.
Simba na Coast mmetisha mpo vizuri.
Tulisoma CUBA ni waelewa sana hatuwezi umia kwa maswala haya madogo.Unaumia moyo au roho