Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Unashindwaje kusoma barua ya coast union , unanilazimisha nikasome barua ya CEO wa Simba ,mgunda alikuwa coast au Simba?Tumia akili vizuri huyo CEO wa Simba anaijua coast kuliko viongozi wa coast wanaosema mgunda alimaliza mkataba na walikuwa kwenye mazungumzo?Narudia Tumia akili.Aibu kubwa mno. Kocha wa timu inayoshiriki ligi kuu, kuazimwa kwwnda kuwa kocha wa timu nyingine inayocheza Ligi kuu. Acha kuhamisha magoli, kasome taarifa ya CEO, amewashukuru viongozi wa Coastal kwa kukubali kuwaazima