Coca Cola Company wamewezaje kuendesha biashara duniani kote bila kumiliki kiwanda wala magari ya kusambaza soda zao tofauti na Pepsi?

Safi sana
Kwa sasa Coca Cola wanauza soda zaidi ya bilioni 2 kwa siku

Mwaka wa kwanza Coca Cola ilipoingia sokoni waliuza chupa 25 tu mwaka mzima

Changamoto zimewakomaza mpaka kufikia hapo walipo

Hii inatukumbusha Never give up every challenge is a gift without challenge we wouldn't grow
 
Sasa Mnaonaje wachumi Tusiwekeze kwenye STARLINK kwa Mfumo huu wa Francise?
Kabla ya kuondoka alie kuwa waziri wa habari Nape alisema Starlink haijaingia Tanzanis kwa sababu ya kutokukamilisha vigezo vya usajili

Ila kwa kenya una register kwenye kampuni y starlink unapewa device uwe distributor kama wakala wa decoder wanavyofanya kazi
 
Huu mfumo unauonaje?
Mwanzo kipindi unaingia mapokeo yalikua makubwa kwa vile price ya vifurushi ilikua cheap ukilinganisha na internet service provider wengine

Competition ikawa kubwa baina ya starlink na safaricom ( router) . Hali iliofanya wateja kuihama safrcom. Ndipo safaricom ikaingia ubia na starlink sahvi ndo distributor wakubwa wa hizo device kupitia mawakala wao
 
If you can't beat them
Join them
 
Mbona hili ni jambo la kawaida sana kweye ulimwengu wa biashara. Bila kuwasahau akina Pepsi na KFC
 
so wameshindwa kupambana nae wameungana nae!
 
Hiyo ndio power of branding

Uber ni kampuni kubwa ya Tax duniani ila haimiliki Taxi vehicle hata moja

Hata kampuni kubwa za consultancy kama PWC huwa zinauza majina tu kwa watu.

Hata kina Nike huwa wanauza brand tu. Wao wenyewe hawatengenezi raba hata moja
 
Big businesses karibu zote zinatumia hiyo system (franchise), na they are in control 99%, wanakuazima tuu kutumia brand name na standards zote, production, advertisement, distribution etc utafanya unachoambiwa na mpaka mkopo wa kujenga kiwanda watakupa, na wana uwezo kuchukua license yao anytime ukivuruga, uzuri wanakupa monopoly na power kwa sababu ya brand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…